Yericko Nyerere ni nani?

Yericko Nyerere ni nani?

Ndugu zangu,

Kwa sababu huyu mwenzetu anaueitwa Yericko Nyerere ni mwenyeji humu JF labda atueleze kwani nimepita mahali katika vitongoji vya Kigamboni picha hizo hizo zikitumika kwa watu tofauti lakini sura zinafanana.Je hawa watu ni mtu mmoja au mapacha?

Mwenye taarifa atujuze kwani tumezoea kuiona picha hiyo ikitumiwa na "mchambuzi huru wa siasa" anayejiita Yericko Nyerere.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungefanya utaratibu wa kuziweka hizo picha ili kuipa hadhi hii taarifa
 
Ndugu zangu,

Kwa sababu huyu mwenzetu anaueitwa Yericko Nyerere ni mwenyeji humu JF labda atueleze kwani nimepita mahali katika vitongoji vya Kigamboni picha hizo hizo zikitumika kwa watu tofauti lakini sura zinafanana.Je hawa watu ni mtu mmoja au mapacha?

Mwenye taarifa atujuze kwani tumezoea kuiona picha hiyo ikitumiwa na "mchambuzi huru wa siasa" anayejiita Yericko Nyerere.

Sent using Jamii Forums mobile app
Juliana shonza ni yule yule wakudadavuwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu Za Sumaye kubaki Chadema ndio hizo hizo Za Yericko, msitegemeee watarudi CCM hivi karibuni
 
nyerere child wanna be.
anataka nyerere awe baba yake badala ya baba yake halisi
Nyerere ni jina, kila mtu anaweza kumpa mwanae, na mara nyingi watu huwapa watoto qao majina ya watu maarufu, kuna shida gani hapo.

Kila familia inamjua mtu wao, familia ya Mwalimu wanawajua watoto wao wote ukooni mwao.

Hili lisitusumbue Yericko Nyerere ni jina lake la kupewa ama hata iwe kaamu kubadilsha na kijipa jina hilo, ni haki yake.

Tafuteni jingine na tuwache mambo ya kijinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msambila= Chahali wanatoka sehemu moja na sifa kubwa ni kutojitambua na kutumikishwa. Hivyo, nina uhakika Yericko hawezi kuwa ukoo wa Msambila! Yericko ni kichwa kingine kabisa!
 
Yerrico ni kijana anayewapa tabu sana Uvccm yani kiufupi Yerrico mmoja sawa na Uvccm 100+
Jinga wewe subiri mwenyewe aje aseme yeye nani..sio mikasuku nyie. Utasikia ooh mbunge mmoja cdm sawa wabunge wote wa ccm..ooh lissu ana akili dunia nzima hata trump anampenda. Wakati mbunge cdm anapoteza jimbo eti alikua analea mimba ya mkewe.
 
Back
Top Bottom