Yaya aliyemtesa mtoto Uganda aomba msamaha

Yaya aliyemtesa mtoto Uganda aomba msamaha

Basi ninyi hamna watoto... Kipigo kile asamehewe? Eboo kwanza mm ninge.. Mfi...r..a....,Pili kipigo angepata cha mbwa Koko... Mpuuzi huyo
 
Wamsamehe lkn waishi nae huko huko mahakamani,la sivyo akija huku mitaani tutamchinja kama kuku!kosa alilofanya halisameheki kamwe!
 
Usilete reference ya vitabu vya dini. Mungu anakusamehe lakini anakurudi. Unajua daudi alimwibia uriya mke. Pamoja na toba haswa lakini mwanae daudi alikufa. Asamehewe, afungwe ili akili ikae sawa

Hembu nisaidie na ile ya wale waliomkamata yule mwana mama mzinifu wakimpeleka ili ahukumiwe adhabu unajua ilikuwaje waliambiwa aliyekuwa na kosa na awe wa kwanza kumpiga jiwe mbona wote walikimbia ? Kusamehe ni muhimu ndicho kipimo cha Mwenyezi Mungu.
 
Hivi sheria za uganda zinaelekeza nini mtu akiomba msamaha?

Mi najua ni kwenye Biblia ndio kuna haya mambo ya msamaha.
 
msamaha utakaomfaa ni kifungo tu ili iwe fundisho kwake na kwa wengine wenye tabia kama hiyo, ule sio ubinadamu hata kidogo kumtesa mtoto mdogo vile hata kama sio wako.

Nakubaliana na wewe kabisa. Kwanza tayari keshasamehewa, kwani kitendo cha kufunguliwa mashtaka ya kutesa mtoto badala ya jaribio la kuua, tayari huo ni msamaha. Vinginevyo alikuwa anataka kuua yule, na alistahiki mashatak ya kujaribu kuua. Hivyo, angalau apigwe hata hiyo miaka 15 tu itakuwa keshasamehewa
 
Hata mimi nahisi akili zake haziko sawa.

Angekuwa yuko majuu nadhani mahakama ingeamuru achunguzwe afya ya akili yake (sijui kama hiyo mahakama ya Uganda imeamuru hivyo).
Kweli huyu si mzima
 
Ningewaelewa kama mngeanza kupiga campaign mashuleni walimu wasichape wanafunzi mboko!!.....labda mseme zile mboko na adhabu za kushika masikio hazina uzito sawa ila mkiweka ma cctv huko mashuleni,you will be suprised to find kuna walimu far worse than huyo dada...........having said that sikubaliani na kitendo cha huyo dada......
 
nafikiri huyu dada kawapa funzo wafanyakazi wenye vitendo kama hivyo.kwa imani yangu "umesamehewa" maana hata mimi nalisamehe kwa damu ya Yesu Kristo pale msalabani.
 
Ningewaelewa kama mngeanza kupiga campaign mashuleni walimu wasichape wanafunzi mboko!!.....labda mseme zile mboko na adhabu za kushika masikio hazina uzito sawa ila mkiweka ma cctv huko mashuleni,you will be suprised to find kuna walimu far worse than huyo dada...........having said that sikubaliani na kitendo cha huyo dada......

kama ni hivyo basi ziwekwe na majumbani kwa wazazi wanaopiga watoto wao, maana vipigo vya wazazi ni far worse than hao walimu,siwatetei ila walimu hupiga watoto for the reason ila ukiangalia kipigo kilichotolewa na huyu binti tena kwa mtoto mdogo vile wala hakielezeki.
 
Ningewaelewa kama mngeanza kupiga campaign mashuleni walimu wasichape wanafunzi mboko!!.....labda mseme zile mboko na adhabu za kushika masikio hazina uzito sawa ila mkiweka ma cctv huko mashuleni,you will be suprised to find kuna walimu far worse than huyo dada...........having said that sikubaliani na kitendo cha huyo dada......

We yule mtt ni mdogo sana, hajui hata kuongea at least angekua anaweza kuwaambia wazazi wake nini anafanyiwa.

Mie sitaki hata kuikumbuka Ile video, iliniumiza roho sana. Afungwe tu, kama hana akili atapata akili akiingia huko jela
 
kama ni hivyo basi ziwekwe na majumbani kwa wazazi wanaopiga watoto wao, maana vipigo vya wazazi ni far worse than hao walimu,siwatetei ila walimu hupiga watoto for the reason ila ukiangalia kipigo kilichotolewa na huyu binti tena kwa mtoto mdogo vile wala hakielezeki.

Bora ume admitt kuna wazazi hawana tofauti na huyo dada wa uganda,so mkianza kuweka macctv msiwe na kikomo,wekeni majumbani,mashuleni msisahau kny bedrooms zenu lol
 
Daaaa anaomba msamaha kizembe kudadeki simpendi huyo binti
 
Bora ume admitt kuna wazazi hawana tofauti na huyo dada wa uganda,so mkianza kuweka macctv msiwe na kikomo,wekeni majumbani,mashuleni msisahau kny bedrooms zenu lol

wewe yule mtoto ni mdogo sana kwa kile kipigo,cdhani km kuna mzazi au mwl anaweza akampiga mtoto wa umri ule kile kipigo
 
Mbona watesaji watoto huko Uganda wako wengi tu..
 

Attachments

  • Uganda.png
    Uganda.png
    40.3 KB · Views: 74
141208112849_uganda__640x360_bbc_nocredit.jpg

Jolly Tumuhirwe

Mfanyakazi wa nyumbani aliyenaswa kwenye kanda ya video akimchapa na kumkanyaga mtoto nchini Uganda, amefikishwa mahakamani leo.

Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe aliambia mahakama kuwa anajulia kile alichokifanya na hata kuomba msamaha. Ameshitakiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella.

Licha ya taarifa ya polisi kusema Jolly atashitakiwa kwa kosa la jaribio la ,mauaji, kiogozi wa mashitaka alimshitaki Jolly kwa kosa la kumtesa mtoto mdogo.
Jolly Tumuhirwe ameomba mahakama kumsamehe kwa kumtesa mtoto

Bi Tumuhirwe alikiri makosa yake na kuomba msamaha. Hakuna wakili yeyote aliyemwakilisha Jolly mahakamani licha ya mmoja wa mawakili mashuhuri kusema angemwakilisha Jolly bila malipo.

Kesi hio imeakhirishwa hadi Jumatano, wakati ambapo hakimu anatarajiwa kutoa hukumu yake dhidi ya Jolly.

Huenda akafungwa jela miaka 15 au kutozwa faini ya dola mianne au adhabu zote mbili.

CHANZO: BBC


Kwakweli kitendo alicho Fanya huyu mdada nichakinyama sana.Kwaupande mwingine we thanks God mtoto amepona katika hatari ya kufa. Pia Mungu anatuagiza kusamehe nakatika makosa mabaya kama haya aliyo Fanya huyu dada ndiohasa,Mungu anatupima kamakweli tunaweza kusamehe katika hali ya uchungu kiasihiki. Asamehewe tu Mungu atamlipa kutokana na matendo take.
 
wewe yule mtoto ni mdogo sana kwa kile kipigo,cdhani km kuna mzazi au mwl anaweza akampiga mtoto wa umri ule kile kipigo

Mnh yaani huamini kuna unfit parents???? ,,,,,,,basi bwana
 
Back
Top Bottom