Yatosha ..

mis lemich

JF-Expert Member
Jan 25, 2017
207
176
Nimegundua kumbe naweza bila huyu aliyechanachana moyo na maisha yakaenda yaliyopita kubaki hadthi baada ya kuona kumbe duniani watu wameumbwa kwa usawa wa aina yake .. Tofauti zetu ni chache Sana asilimia kubwa tunafanana . Maneno haya ni faraja tosha kuufariji moyo ili uache yaliyomo yawe Kama hadithi... Na kuacha moyo Kama ulivyo
fe21175aad1acd6c28db73c21a71af8b.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom