Yatosha sasa

Yatosha sasa

Habarini za mchana wana jukwaa, ni matumaini yangu kuwa muu wazima na mnaendelea na maandalizi ya kumpokea mtoto Yesu kwa wale wakristo wenzangu. Baada ya kusema hayo nirudi moja kwa moja kwenye mada, binafsi nimepita katika mapito mengi upande wa mahusiano napenda nikiri hilo. Na baada ya kutafakari sana nimeona yatosha kwa kuwa hakuna kitu kigeni kwenye swala la wanawake, ndipo nimechukua uamuzi wa kwenda kucheki afya na kukuta afya yangu bado ni nzuri na namshukuru Mungu. Sasa ni wakati wa kutulia hadi Mungu atakapaponipa mwenza wa maisha, Ee Mungu nisaidie.


Dogo, hayo ni maneno ya mdomoni tu, wote tulitamani ingekuwa hivyo lakini......., we baada ya miezi sita rudi hapa useme tena kama utakuwa na ujasiri huo. Vilevile angalia usjie uziwa mbuzi kwenye gunia
 
Dogo, hayo ni maneno ya mdomoni tu, wote tulitamani ingekuwa hivyo lakini......., we baada ya miezi sita rudi hapa useme tena kama utakuwa na ujasiri huo. Vilevile angalia usjie uziwa mbuzi kwenye gunia

kuuziwa kwenye gunia haitotokea, nishajibu swali kama lako hapo juu.
 
dah, safi sana kamanda! ukisimamia uamuzi wako hadi mwisho lazima uwe salama..
safi sana
na hongera kwa maamuzi magumu na mazuri.

ila sijajua baada ya lile libaridi la juu itakuwaje!!
 
dah, safi sana kamanda! ukisimamia uamuzi wako hadi mwisho lazima uwe salama..
safi sana
na hongera kwa maamuzi magumu na mazuri.

ila sijajua baada ya lile libaridi la juu itakuwaje!!

baridi itakwisha tu kwa matumizi ya vitu vingine, I promise.
 
Back
Top Bottom