Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
- Thread starter
- #21
Last edited by a moderator:
Ulipima lini myfriend????hongera sana
Utapata used mwenzio utulie naye
Used + Used = Vyuma Chakavu
hongera sana mkuu
Tulia utapata wa kufanana naye!!!!!
leo my friend
Uamuzi mwema myfriend namie nakuja tukapime!!
Wazee wa LOVE CONNECT mpoooo....ooh huyu hapa hazband material kijana safii na kupima kapima
hongera sana shemeji
Habarini za mchana wana jukwaa, ni matumaini yangu kuwa muu wazima na mnaendelea na maandalizi ya kumpokea mtoto Yesu kwa wale wakristo wenzangu. Baada ya kusema hayo nirudi moja kwa moja kwenye mada, binafsi nimepita katika mapito mengi upande wa mahusiano napenda nikiri hilo. Na baada ya kutafakari sana nimeona yatosha kwa kuwa hakuna kitu kigeni kwenye swala la wanawake, ndipo nimechukua uamuzi wa kwenda kucheki afya na kukuta afya yangu bado ni nzuri na namshukuru Mungu. Sasa ni wakati wa kutulia hadi Mungu atakapaponipa mwenza wa maisha, Ee Mungu nisaidie.
mmh dongo sasa.
Dogo, hayo ni maneno ya mdomoni tu, wote tulitamani ingekuwa hivyo lakini......., we baada ya miezi sita rudi hapa useme tena kama utakuwa na ujasiri huo. Vilevile angalia usjie uziwa mbuzi kwenye gunia
kuna mtu jana alikuwa anaomba mistari ya bibble jinsi ya kupata mme mwema natamani nifanye udalali kati yenu
Ulipima lini myfriend????hongera sana
Uamuzi mwema myfriend namie nakuja tukapime!!
kule love connect?
dah, safi sana kamanda! ukisimamia uamuzi wako hadi mwisho lazima uwe salama..
safi sana
na hongera kwa maamuzi magumu na mazuri.
ila sijajua baada ya lile libaridi la juu itakuwaje!!