Yatosha sasa

Mtoto halali na hela

JF-Expert Member
Aug 10, 2012
47,707
40,918
Habarini za mchana wana jukwaa, ni matumaini yangu kuwa muu wazima na mnaendelea na maandalizi ya kumpokea mtoto Yesu kwa wale wakristo wenzangu. Baada ya kusema hayo nirudi moja kwa moja kwenye mada, binafsi nimepita katika mapito mengi upande wa mahusiano napenda nikiri hilo. Na baada ya kutafakari sana nimeona yatosha kwa kuwa hakuna kitu kigeni kwenye swala la wanawake, ndipo nimechukua uamuzi wa kwenda kucheki afya na kukuta afya yangu bado ni nzuri na namshukuru Mungu. Sasa ni wakati wa kutulia hadi Mungu atakapaponipa mwenza wa maisha, Ee Mungu nisaidie.
 
Mtoto halali na hela nilifikiri umempata wa kula nae kiapo cha maisha kumbe bado unasaka tuu
Na kwenye kusaka huko mkuu utakubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia kuwa tukae mpaka ndoa ndo tuonyeshane mambo yetu au utachovya tena kuhakikisha kuwa ni mbuzi kweli na sio mbwa
hapo nina wasi wasi na maamuzi hayo maana bado hayajakaa sawa
Ila hongera kujikuta uko salama mkuu
 
Last edited by a moderator:
Mtoto halali na hela nilifikiri umempata wa kula nae kiapo cha maisha kumbe bado unasaka tuu
Na kwenye kusaka huko mkuu utakubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia kuwa tukae mpaka ndoa ndo tuonyeshane mambo yetu au utachovya tena kuhakikisha kuwa ni mbuzi kweli na sio mbwa
hapo nina wasi wasi na maamuzi hayo maana bado hayajakaa sawa
Ila hongera kujikuta uko salama mkuu

nikishampata itafuata hatua stakihi, lets say kucheck once/twice ndio tusonge mbele. Yote yanawezekana lengo likiwepo
 
Last edited by a moderator:
Umamuzi wa msingi Mkuu Mtoto halali na hela. Kazi imebaki kuusimamia uamuzi wako.. umefnya vyema kuamua, kazi uliobakiwa nayo ni kuuishi uamuzi wako. nakutakia kherikaka mkubwa .

Ulimwengu wa sasa si kama ule wa enzi zetu sisi, hatari sasa ni nyingi sana sana. Take care men!!!!

Hongera sana Kijana wangu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom