Yathibitika kuwa profesa Jay ndie msanii wa Tanzania mwenye VVU (Vina Vya Ukweli)

usituharibie siku tena mkuu maana ukitaka kujua ni kiasi jay a.k.a jizzo anakubalika kwetu fans wake umwongelee vibaya,kusema kweli hatutakuelewa katu
 
enzi za yale magazeti ya jioni dar leo na alasiri kuna siku likukuja na kichwa cha habari fronti peji . *OSAMA aibukia msibani mbeya* tulinunua kama njugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom