Yani Mtu akazaliwa akaitwa Yeshua mwana wa yosef aliezaliwa na miriam, nyie baada ya karne kazaa mkasema aitwe issa, 😂😂

Yani Mtu akazaliwa akaitwa Yeshua mwana wa yosef aliezaliwa na miriam, nyie baada ya karne kazaa mkasema aitwe issa, 😂😂

Cha kushangaa zaidi..
Mwana wa Mungu kuuliwa na wanadaamu viumbe wa babake tena kwenye mambao hii inashangaza zaidi..

Ama mwana wa Mungu kwa roho ya Uungu na kiwiliwili cha kibinadamu kuuliwa na wanadam ili wapate msamaha..
Yaani Mungu aumbe kiumbe kimkosee kisha aumbe mwanae aje ateseke ili akisemehe kiumbe alichoumba..
 
Utamkaji tuu.
Issa
Yeshua
Jesus
Yesu

Yote yanarejelea jina moja tofauti ni utamkaji kulingana na lugha husika.

Jina moja haimaanishi mhusika ni yuleyule
 
Cha kushangaa zaidi..
Mwana wa Mungu kuuliwa na wanadaamu viumbe wa babake tena kwenye mambao hii inashangaza zaidi..

Ama mwana wa Mungu kwa roho ya Uungu na kiwiliwili cha kibinadamu kuuliwa na wanadam ili wapate msamaha..
Yaani Mungu aumbe kiumbe kimkosee kisha aumbe mwanae aje ateseke ili akisemehe kiumbe alichoumba..
Hakika kabisa

Kama vile Yule bwnaa wenu alivyo baka vitoto vidogo.

Kwa kizulu tunamuita PEDOPHILE
 
Hela zinapigwa, umasikini mpaka basi
Halafu kutwa kubezana kisa udini ambao haukuwekei mlo mezani
Kama Dini zinaruhusu kuchambana sasa nini faida ya kuabudu? Au mnaitafuta hiyo pepo kwa matusi
 
Mi nafikiri kama alivyosema solomoni kila kitu chini ya anga ni ubatili alikuwa sahihi.
Wataalamu wa lugha wanasema “Isa” ni lahaja ya Kiarabu ya jina la "Eesho" ni Aramaic/Syriac ambalo ndilo Yesu alijulikana nalo miongoni mwa watu wake.

Inawezekana vilevile Qur’an ilitumia jina hilo kwa mfumo wa Kiarabu lililozoeleka kwa waarabu wa wakati huo.
 
Halafu unasema waislamu hawana elimu, kwahoja kama hii ulitakiwa uwe mirembe maana upo kikomedi zaidi
Mimi nime-graduate Milembe sasa mwaka wa 16 huu.Nilizawadiwa shuka limeandikwa AFYA AFYA AFYA kwa ajili ya kumbukumbu njema.Kila jumapili nalitandika sebuleni kwangu kama zulia.
 
Mimi nime-graduate Milembe sasa mwaka wa 16 huu.Nilizawadiwa shuka limeandikwa AFYA AFYA AFYA kwa ajili ya kumbukumbu njema.Kila jumapili nalitandika sebuleni kwangu kama zulia.
Nakuomba kwa heshima zote usiwe unaniquote tu, maana upo kikomedi zaidi pale unapokua huna hoja za msingi.

Naomba niongee na watu wazima tu
 
Yesu na muhamedi wakigombea nafasi yoyote basi kura yangu naiharibu makisudi, maana simsadiki yeyote kati ya wawili hawa.
 
Back
Top Bottom