Mbona sikua naenda nae popote?
Hahahaaaa......... Baba Paroko bwana...!
Hata kanisani hamkufika?
Wewe Blueband maneno gani haya?
kukucd ni shemeji yako nampenda sana
hongera kwa kusema ukweliKwako bwana utafitisalam.
Lengo langu ni kukueleza yaliyo moyoni mwangu,nakupenda sana hadi najishangaa,nipo serious kabisa,nakupenda si utani ndo maana nimeamua kufunguka hadharani!I am Tanzanian lady,kama umeoa nipo tayari kua nyumba ndogo au spea tairi.
nashukuru kwa kukubaliwa maana daah!
Bora wafunguke tujueHua najaribu kujiuliza kizembe
Hivi mtu unampenda mtu inakuwaje unakuja hapa hadharani?
PM hazipo?
Au ni uongo tu?
Mwishowe naona kama wote waliokuja hapa na kujidai eti wanawazimikia watu ni waongo tu
CC: Shenazi na wengineo .......!!!!!!!!!!!!!!!!!
Feedback ya nini???
Bora wafunguke tujue
Nadhani ni kweli.Unadhani wanamaanisha kweli au ni porojo tu?
Nadhani ni kweli.