Yangu ya moyoni


mbona umekuwa mbogo, ulimzimikia ila ukawa domo zege halafu mwenziyo kajilambia kilaiiiniiiiiiiiiiiiii! aisee kukucd kama kuna mwingine kabakia basi? mi huwa sishangai kama vipi piga chini huyo utafiti mie tumalizane??????
 
mbona umekuwa mbogo, ulimzimikia ila ukawa domo zege halafu mwenziyo kajilambia kilaiiiniiiiiiiiiiiiii! aisee kukucd kama kuna mwingine kabakia basi? mi huwa sishangai kama vipi piga chini huyo utafiti mie tumalizane??????

Wewe Blueband maneno gani haya?
 
Last edited by a moderator:
Baba Paroko, hueleweki, umemkatalia au umekubali, upo neutral

mambo mazuri hayataki haraka
afu kama unavojua huyu ni baba paroko lazma nimtembelee na speed ya 20
nikipiga 180 ataishia kunikemea
 
mambo mazuri hayataki haraka
afu kama unavojua huyu ni baba paroko lazma nimtembelee na speed ya 20
nikipiga 180 ataishia kunikemea

Walikuwa mapartoko wa zamani, hawa wetu wa digitali usihofu, Kwa kuwa amekaa kimya tunaassume amaekubali! Si unakumbuka ile thread yake ya kununiwa na kufanyiwa visa na mdada aliyejitongozesha kwake!

Kama angekuwa hakutaki angeanzisha thread
 

Heheheeee........... Baba Paroko, samahani lakini... Hivi, mlifika wapi wewe na Shenazi?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…