Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,471
- 6,371
Sawa mbumbumbu mkubwa kaa kwa kutuliaSubirini mpigwe na Rivers halafu mulaumu TFF.Bora binadamu mbumbumbu kuliko kuwa na akili za nyani
Sawa mbumbumbu mkubwa kaa kwa kutuliaSubirini mpigwe na Rivers halafu mulaumu TFF.Bora binadamu mbumbumbu kuliko kuwa na akili za nyani
Rudia kusoma ulichoandika na utagundua kuwa wewe ni mbumbumbu mkubwa
Hizo hoja ungejibu ata moja ningechoma vyeti vyangu vyote vitano.Rudia kusoma ulichoandika na utagundua kuwa wewe ni mbumbumbu mkubwa
Hii issue ipo by coincidence tu Mkuu, coz unaweza ukapanga kitu ila kuna factor zikatokea mbele na issue yako ikawa disorganizedHili swala lilikua calculated tangu mwanzo kwenye ratiba zenu kwamba mlijua situation hii tangu mda au by coincidence tu?
Kaa kwa kutulia ili usije ukakatisha dozi yakoUshakuwa mfaa maji wewe
Wachezaji wamechoka kulawitiwa wamegomea kambiMbumbumbu wengi hawana reasoning
1.Kilele cha wiki ya mwananchi ni tar.29/8/2021 na leo ni ni tar. 23,kwa hesabu hapo zimebaki siku sita mpaka siku hiyo kufika na timu ipo Morroco na safari yake inachukua siku mbili mpaka kufika Dar es Salaam, kwahyo hapo zinabaki siku nne pia kuna uchovu wa safari na kuendelea na mazoezi kwa ajili ya mtanange wa wiki hiyo ya mwananchi
Tupo mule mule tu.
Wachezaji wanatakiwa timu ya Taifa
1.Kabwili
2.Feisal
3.Mauya
4.Job
5.Mwamnyeto
6.Yacouba
7.Mokoko Tonombe
8.Djagui Diarra
Kimsingi hapo kwa tuliosomea coaching hasa ukiwa kambi ya maandalizi ya msimu bila kuwa key players wako, hapo huwa tunahesabu hakuna maana ya kuwa na kambi hiyo, automatically kuna mbinu ulikuwa uzitoe lakini utashindwa kutokana na kukosekana kwa baadhi ya wachezaji wako muhimu
Na isitoshe wiki ya mwananchi ipo ukingoni sina shaka kumuelewa Coach Nabi na Eng. Hersi said
Unaweza ukawa na vyeti 100 na usiwe unaelewa namna ya kupangilia, kuandika na kuongeza facts katika nyanja tofautiHizo hoja ungejibu ata moja ningechoma vyeti vyangu vyote vitano.
Mbona Eng Her alikuwa wakati anaelezea. Kwa hio na yeye ni muongoHabari za hovyo kuwahi kutokea zisizo na uthibitisho wowote, sio taarifa rasmi
Ukiwa na smartphone unajikuta mwandishi wa habari
Hilo mbona hakuna ambaye amelaumu kwenda au kurudi kwa makundi.Timu kusafiri kwenye makundi inategemea na nafasi katika ndege Yanga na Simba wanategemea ndege za abiria wa kawaida. Ndege za abiria maranyingi zinakuwa na nafasi chache kwakua abiria walisha book zamani timu zikiomba nafasi zitapewa nafasi zilizo Baki
we jamaa kweli ni nyani hii kauli nimeona umemulza mdau mmoja tena umeambatanisha na picha ukimulza kuwa team inarud leo hiyo tareh 27 yy kaitoa wap? Sasa na ww tujibu umeitoa wap hiyo tarehe 27?
Sawa mbumbumbu mkubwa kaa kwa kutulia
Kwani kati ya Wiki ya Mwananchi na maandalizi ya pre-season, kipi kinatakiwa kupewa kipaumbele? Hata nyani ana unafuu, sijui tuwaitaje kuweka kambi ya siku tatu... Kilele cha wiki ya mwananchi ni tar.29/8/2021 na leo ni ni tar. 23,kwa hesabu hapo zimebaki siku sita mpaka siku hiyo kufika na timu ipo Morroco na safari yake inachukua siku mbili mpaka kufika Dar es Salaam,
Hizo hoja ungejibu ata moja ningechoma vyeti vyangu vyote vitano.
Wachezaji wa simba na Yanga wakutana uwanja wa ndege katika maandalizi ya kurudi nchiniKwani kati ya Wiki ya Mwananchi na maandalizi ya pre-season, kipi kinatakiwa kupewa kipaumbele? Hata nyani ana unafuu, sijui tuwaitaje kuweka kambi ya siku tatu
Wachezaji wa simba na Yanga wakutana uwanja wa ndege katika maandalizi ya kurudi nchiniView attachment 1904723
Hayakuhusu1) Eti sababu wachezaji kama nane wataitwa kwenye nchi zao kwa michezo ya kimataifa hivyo timu itameguka
2) Eti sababu kule kambi iliko joto Sana.
3) Eti tuna mechi wiki ya mwananchi na wale wanigeria pia.
My take:::
Waseme tu pesa imekata.
kwani walipoenda au kupanga kwenda huko hayo mambo hawakuya consider?!
Jiisiiem mbona mnawatapeli uto jamani. Wameshaanza kushindwa kabla ya kushindana!
1.Poor infrastructureHawa ni Wachezaji wa Simba walioitwa kwa Team zao za Taifa.Kambi ya Simba bado ipo na haijavunjwa,hakuna sababu za kitoto za “hali ya joto kali”.Sasa turudi kwa hoja iliyoko mezani,ni kipi hasa kimepelekea Yanga kuvunja kambi Morroco ndani ya siku 4 tu za kuwepo Kambini?
Nasema hivi, Yanga wamekaa kambini siku tatu, Simba siku kumi na tano! Wewe unaangalia siku ya kurudi, huangalii kuwa Simba alitangulia muda tu!Wachezaji wa simba na Yanga wakutana uwanja wa ndege katika maandalizi ya kurudi nchini
1.Poor infrastructure
2.Lack of capital
3.Poor TFF support
4.Language barrier
5.Shortage of food
6.Poor climatic conditions