Yanga yasema Bodi ya Ligi ya Tanzania Bara ndio inahusika na suala la ulinzi mechi za CAF CL

Lupweko

JF-Expert Member
Mar 26, 2009
20,690
20,451
Anaandika Wakili Simon Patrick , Mkurugenzi wa Sheria na Wananchama wa Yanga

- Wakati unatafakari kuilaumu Klabu ya Yanga kuhusu faini ya CAF ni vyema ukafahamu yafuatayo; - Nani anahusika na ulinzi wa uwanja? Nani anahusika na COVID tests? - Nani anahusika na kuruhusu mashabiki uwanjani? Nani anahusika na stewards uwanjani?

- Ukiangalia kwa jicho la pili utagundua Yanga haihusiki na masuala yote yaliyotajwa. Pia ukisikia Yanga anatumia uwanja wa Taifa kama uwanja wa nyumbani, ni vyema ujue eneo pekee ambalo anapewa kuli control kwa 100% ni chumba cha kubadilishia nguo kwa wachezaji tu.

- Maeneo yote yaliyobaki kuanzia getini, parking, mzunguko, VIP A,B & C pamoja na VVIP Yanga haina access wala control bila ruhusa maalumu ya Shirikisho/ Bodi ya Ligi, ni mpaka uwe na Access au Accreditation.

-Yaani kwa ufupi ata kama Kiongozi wa Yanga ana mgeni wake lazima aombe ruhusa au kibali kutoka bodi ya ligi ndio aruhusiwe kumuingiza kwenye mechi zake za nyumbani, ukiachana na hilo ni kukaa na kusubiria mgawanyo wa mapato yatokanayo na mechi tu kwa mujibu wa kanuni za mechi husika

- Hivyo ni vyema kabla haujailaumu Yanga, zingatia niliyoyaandika hapo juu alafu jenga hoja zako za msingi weka ushabiki pembeni.
 
Hiyo unayozungumza ww ni mechi za ligi kuu, lakin kwa mechi za awali za club bigwa africa club ndio inakuwa na dhamana kubwa hasa ya nan na nan wanatakiwa kuingia uwanjani kwa sababu mechi inakuwa haina mashabiki hivyo viongozi tuu na wanahabar ndio hupewa kibali cha kuingia na timu mwenyeji

Kuhusu ulinzi, mechi kama hizo walinzi ndio ni wa uwanja husika lakin hufanya kazi kwa maelekezo ya timu mwenyeji
 
Anaandika Wakili Simon Patrick , Mkurugenzi wa Sheria na Wananchama wa Yanga

- Wakati unatafakari kuilaumu Klabu ya Yanga kuhusu faini ya CAF ni vyema ukafahamu yafuatayo; - Nani anahusika na ulinzi wa uwanja? Nani anahusika na COVID tests? - Nani anahusika na kuruhusu mashabiki uwanjani? Nani anahusika na stewards uwanjani?

- Ukiangalia kwa jicho la pili utagundua Yanga haihusiki na masuala yote yaliyotajwa. Pia ukisikia Yanga anatumia uwanja wa Taifa kama uwanja wa nyumbani, ni vyema ujue eneo pekee ambalo anapewa kuli control kwa 100% ni chumba cha kubadilishia nguo kwa wachezaji tu.

- Maeneo yote yaliyobaki kuanzia getini, parking, mzunguko, VIP A,B & C pamoja na VVIP Yanga haina access wala control bila ruhusa maalumu ya Shirikisho/ Bodi ya Ligi, ni mpaka uwe na Access au Accreditation.

-Yaani kwa ufupi ata kama Kiongozi wa Yanga ana mgeni wake lazima aombe ruhusa au kibali kutoka bodi ya ligi ndio aruhusiwe kumuingiza kwenye mechi zake za nyumbani, ukiachana na hilo ni kukaa na kusubiria mgawanyo wa mapato yatokanayo na mechi tu kwa mujibu wa kanuni za mechi husika

- Hivyo ni vyema kabla haujailaumu Yanga, zingatia niliyoyaandika hapo juu alafu jenga hoja zako za msingi weka ushabiki pembeni.
Nyie msikilizeni tu huyo msukule wa GSM muone kama hamtapigwa ban ya kushiriki mashindano yanayosimamiwa na CAF. Uzembe wenu wenyewe kwa.kutoijibu barua ya CAF kwani maelezo mnayotoa sasa ndiy yalitakiwa yawe majibu kwa CAF na huenda adhabu ingekuwa ndogo. Mnachofanya sasa ni upumbavu mtupu.
 
Kutolewa wametolewa na faini juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na Msukule uliowaingiza chaka unapokea mshahara wake mnono
IMG-20210925-WA0023.jpg
 
Back
Top Bottom