Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Habari zilizopatikana toka Bukoba zinaeleza kwamba Yanga imeumizwa na Kagera Sukari goli 2 bila majibu.
Wakati huo huo habari zinaeleza kuwa nao Simba nao wamelia kwa Azam goli mbili hizo hizo.
Ama kweli ni mwaka wa shetani.
Wakati huo huo habari zinaeleza kuwa nao Simba nao wamelia kwa Azam goli mbili hizo hizo.
Ama kweli ni mwaka wa shetani.