Yanga wamemkosea mzee mwasokwa

Yanga wamemkosea mzee mwasokwa

Joined
May 4, 2010
Posts
77
Reaction score
12
Mzee Joseph Mwasokwa amezikwa kwao Kyela watu wengi wamehudhuria akiwemo R.O, mzee Apson,Mwakipesile,Mwambulukutu n.k hayati Mzee Mwasokwa pamoja na kufanya kazi idara ya usalama wa taifa pia alikuwa mkereketwa mkubwa wa klabu ya Yanga na akijitolea na kushauri mambo mbali mbali lakini jambo la kusikitisha na kustaajabisha klabu ya Yanga wameshindwa kuleta muwalishi wao mazishini!!? ubinadamu gani huu?
 
Tafadhali hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

Cc: Roulette
 
Last edited by a moderator:
Fadhila hailazimishwi ndugu. Na usijikweze wala kumkweza mtu zaidi ya anavyostahili. Naamini Yanga wangeona kuhusika kwao basi wangetuma mwakilishi.

Tabia za kiswahili sana hizi za kuwahesabia watu, fulani na fulani hawajaja msibani bila kuzingatia pengine wako kazini au kwenye majukumu mengine.
 
Aisee km ni yule Mzee, nadhani alikuwa na mguu mmoja mfupi hivi, dah Nalia machozi. So sad for i know him since 1980 watoto wake tumepiga shule wote, tumecheza kitaaa wote dah Wish ningekuwepo kwenye msiba
 
Yanga ina wakereketwa wengi,hawawezi kuhudhuria misiba yote
 
Yanga ina wakereketwa wengi,hawawezi kuhudhuria misiba yote

Hapo Mkuu umenena! Kwa jinsi wakereketwa walivyo wengi, kuna uwezekano Yanga inafiwa kila siku hapa nchini na hata nchi za nje. Sidhani kama inawezekana kwa viongozi kutuma wawakilishi kila mahali. RIP Mzee, Mwasokwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom