Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
zimeongezwa dakika 2 kabla ya mapumziko
lazima awe bubu kwani mnyama kisha nyofolewa mara moja.
anangoja mnyama arudishe ndio aingie hewani.
yanga waamtoa emmanuel gabriel na kumuingia ulimboka mwakyumbe (spelling za jina si sahihi)
Yanga waamtoa Emmanuel Gabriel na kumuingia Ulimboka Mwakyumbe (spelling za jina si sahihi)
haruna moshi apewa kadi nyekundu