mbwa punguza kubweka.Huruma yenu nyie mikia
mbwa punguza kubweka.Huruma yenu nyie mikia
Umeona mpira we mkia, tunawataka nyie mikia sasambwa punguza kubweka.
Yanga wanatafuta muunganiko na first eleven kwasasa.wanatumia nguvu nyingi kupata matokeo kwasababu walikosa pre season na wanakosa unyumbufu Ila wakija kukaa sawa itakua hatari kubwa sana.Kwa hio yanga na usajili wao na KMC na usajili wao imekaa je?
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisa na naona tukifika mbele kunakua na kitete cha wachezajiYanga wanatafuta muunganiko na first eleven kwasasa.wanatumia nguvu nyingi kupata matokeo kwasababu walikosa pre season na wanakosa unyumbufu Ila wakija kukaa sawa itakua hatari kubwa sana.
Ndio nimelewa pombe ya kinyakyusa, hivi nyie na sisi lini?umelewa?
Kwa hiyo hicho kitete kinasababishwa na kukosa muunganiko? Naona kila kitu kinasingiziwa muunganikoUko sahihi kabisa na naona tukifika mbele kunakua na kitete cha wachezaji
Kiongozi tunachozungumzia apa ni mpira ukifika mbele yani kila mtu anacheza kivyake, hatuchezi kitimu na kila mtu hajui movemenmt za mwenzake hasa Sarpong na SougneKwa hiyo hicho kitete kinasababishwa na kukosa muunganiko? Naona kila kitu kinasingiziwa muunganiko
Achana nae kiongozi hana kauli nzuri na nadhani watoto wako wengi humu Jamiiforums, mtu mzima hawezi kuongea maneno kama hayo. Nachukia sana nkiona mtu ana mjibu vibaya mwenzake.Kwanini unatukana wewe?!?! Una umri gani wewe?!? Anza Kwanza kumtamkia hivyo mama yako na baba yako...jibu utakalopata kutoka kwa wazazi wako ndipo uje kutujulisha hapa jf...
Hivi kwani nyie mikia FC mna point ngapi?KMC 2 - 1 Prisons
Yanga 1 - 1 Prisons
KMC 4 - 0 Mbeya City
Yanga 1 - 0 Mbeya City
Tutaelewana, usitufokee!Hivi kwani nyie mikia FC mna point ngapi?
Hii hesabu ni nzito sana, KMC ni timu ya kuiangalia kwa jicho la tatuKMC 2 - 1 Prisons
Yanga 1 - 1 Prisons
KMC 4 - 0 Mbeya City
Yanga 1 - 0 Mbeya City
Hadi Sasa Yanga imeonesha inawachezaji wazuri Sana waliosajiliwa msimu huu lakini bado hawajawa na timu nzuri. Timu inaonesha performance ya hali ya juu na kufanya mashumbulizi mengi lakini kupata matokeo kwa wepesi ndio shidaYanga wanatafuta muunganiko na first eleven kwasasa.wanatumia nguvu nyingi kupata matokeo kwasababu walikosa pre season na wanakosa unyumbufu Ila wakija kukaa sawa itakua hatari kubwa sana.
kelele za chura hazimzuii simba kunywa maji.Umeona mpira we mkia, tunawataka nyie mikia sasa
Kwa timu hiyo ilivyo, inabidi uombe mechi na Simba ichelewe kidogo kuupata huo unaoitwa 'muunganiko'Umeona mpira we mkia, tunawataka nyie mikia sasa
Umekidh kiu yako ,,kwako mwalim kashashaYule dogo white ( Carlinho) mlimsajili awe anakaa benchi tu? Previous match alibaki Sub mpaka game inaisha hajacheza na leo tena anabaki sub sasa itajulikana vipi kama nae ni mkali au kiazi tu
Achana nae kiongozi hana kauli nzuri na nadhani watoto wako wengi humu Jamiiforums, mtu mzima hawezi kuongea maneno kama hayo. Nachukia sana nkiona mtu ana mjibu vibaya mwenzake.
Yanga leo walikua na shots on target ngapi? Upofu huu ni balaa. Mashambulizi mengi yapi? Hata shots off target hazizidi tano..Hadi Sasa Yanga imeonesha inawachezaji wazuri Sana waliosajiliwa msimu huu lakini bado hawajawa na timu nzuri. Timu inaonesha performance ya hali ya juu na kufanya mashumbulizi mengi lakini kupata matokeo kwa wepesi ndio shida
Hahahaha nyie mikia FC lazima MO aeleze ameeka akaunti ipi izo bilioni 20 iyo siku tutayokutanakelele za chura hazimzuii simba kunywa maji.