PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
hamna kitu kwakweli,wana rukaruka tu uwanjani.Hiyo Polisi ni timu kweli au ipo kukamilisha idadi ya timu 14.
hamna kitu kwakweli,wana rukaruka tu uwanjani.Hiyo Polisi ni timu kweli au ipo kukamilisha idadi ya timu 14.
Tatizo la timu ya Yanga ni watu wa magazetini sana,ninachokijua mimi na mtu yeyote alieangalia ile head to head kati ya Yanga na Simba ataona ukweli upo wazi kwamba Simba ni timu nzuri sana zaidi ya Yanga na mwaka huu itarudia yaleyale ya kumaliza msimu bila kufungwa na kuchukua ubingwa na Yanga wataendelea kukosa michuano ya kimataifa kwa mara ya pili mfululizo na kucheza NDONDO tu coz simba itakua ya kwanza ya pili ni Azam na tatu anaweza kuwa YEBOYEBO,mtibwa au Costal union......Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee:Kushoto atakuwepo Nurdin Bakari,Kulia Frank Domayo,tisa na kumi Tegete na Kavumbagu,nane Haruna Niyonzima,sita Chuji,Tano Canavaro,nne Mbuyu Twite kiboko ya "Mnyama",tatu Mwasika,mbili Juma Abdul na Golini kama kawa Yaw Berko:halafu wakati huo nje watakuwa wanasubiri,Nizar,Shamte Ally,Oscar,Omega Seme na Ladislaus Mbogo:Kumbuka Hamis Kiiza na Said Bahanuz wanagonjwa!!!!!!
sasa unadhani kwa kikosi hiki kwa nini hao wakamatji watu ovyo wasilale 5-1?
namuona kwenye viti vya Orange anashangaa uwanja wa Bongo.yupo hapa kabange twite mdogo wake mbuyu twite amenyoa kiduku
Wachezaji wa Yanga naona kama vile wamekesha baa...!
Kule Chamazi ni half time, Azam 1-1 Ruvu shooting.
hebu tupishe hapa nenda benki kutabiri.Tatizo la timu ya Yanga ni watu wa magazetini sana,ninachokijua mimi na mtu yeyote alieangalia ile head to head kati ya Yanga na Simba ataona ukweli upo wazi kwamba Simba ni timu nzuri sana zaidi ya Yanga na mwaka huu itarudia yaleyale ya kumaliza msimu bila kufungwa na kuchukua ubingwa na Yanga wataendelea kukosa michuano ya kimataifa kwa mara ya pili mfululizo na kucheza NDONDO tu coz simba itakua ya kwanza ya pili ni Azam na tatu anaweza kuwa YEBOYEBO,mtibwa au Costal union......
hebu tupishe hapa nenda benki kutabiri.
Nafuatilia mkuu naombea Azam wapigwe, sema tatizo ni kwamba utashi sio farasi.kumbe unafuatilia enheee...
Nafuatilia mkuu naombea Azam wapigwe, sema tatizo ni kwamba utashi sio farasi.
Vipi wana harufu ya pombe?
Ha ha ha ha a, mkuu vipi? Utabiri wako na wake umetofautiana nini?