Yanga v/s African Lyon

Yanga v/s African Lyon

Mambo haya ndio maana Rage anapagawa kiasi anaenda kugombea bendera za watu
 
Msimamo wa ligi tunajikita kileleni gap la point 3 lipo pale pale ubingwa tutatangaza kwenye mechi na Azam masimba hayatuumizi kichwa.
 
Msimamo wa ligi tunajikita kileleni gap la point 3 lipo pale pale ubingwa tutatangaza kwenye mechi na Azam masimba hayatuumizi kichwa.

pale mtamuua refa amini nakuambia kwanza karibu jmoo uone tunavyompa kichapo msudani..
 
Mpira umekwishaaaa....
Yanga 4 - 0 African Lyon
 
Mpira umekwisha dk.90 zimeisha. Yanga 4 African Lyon 0.
Posts hizi zimeletwa kwenu kwa uzamini wa Gongo, mnazi na Chibuku kwa afya safi.
 
Mpira umeisha matokeo kama nilivyotabiri katika ktk post ya 11 ya thread hii
 
Mambo mazuri hayataki haraka .Njooni j2 muone vijana wamsimbazi watakavyo wakimbiza hao libolo
 
Wasahau kuifunga simba 5 zaidi wao ndo tutawachapa kwenye mechi yetu ya mwisho

Hongereni wanajangwani..
nilijua mtaitupia tano kama mlizotupiwa na simba au mnaziweka kwa ajili ya simba..
 
Back
Top Bottom