Yanga v/s African Lyon

Bingwa azam, yanga anatu sindikiza

Juzi Kifaru
2Q==


Kawauzia mechi ndio mnadhani mnachukua ubingwa. Ngoja tutakapokutana tuwavuruge mbaya ndio mtajua ni kwa nini Yanga ndio mume hapa Tanzania miaka na miaka
 
Mods vipi bana, hiyo si ilikuwa animation tu bana, au simba weye?

Msimu ujao nikuuzie kadi uachane na timu za sokoni
 
Haya kikosi cha Azam hiki hapa

1. Azam Ice cream
2. Azam Cola
3. Azam malt
4. Azam Uhai
5. Azam Milk Lollies
6. Azam Biskuit
7. Azam wheat flour
8. Azam Sembe
9. Azam Chapati Tayari
10. Azam Chocolate Ripple
11. Azam Yoghurt

Substitute:
12. Azam Marine
13. Azam Special Bread
14. Azam Rice
15. Azam Ball Cone

.................... inawezekana wakatengeneza na Azam Beer na Azam Konyagi.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom