Yanga v/s African Lyon

Yanga v/s African Lyon

[h=5]Here's Young Africans line-up to face African Lyon today:
1.Ally Mustafa
2.Juma Abdul
3.David Luhende
4.Nadir Haroub
5.Kelvin Yondani
6.Athuman Idd
7.Saimon Msuva
8.Frank Domayo
9.Jerson Tegete
10.Hamis Kiiza
11.Haruna Niyonzima

Subs:
1.Said Mohamed
2.Shadrack Nsajigwa
3.Stephano Mwasika
4.Nurdin Bakari
5.Nizar Khalfani
6.Said Bahanuzi
7.Didier Kavumbagu[/h]

We, kweli kiyanga yanga. Umetaja kikosi chako2, mbona Lyon uja kitaja kikosi chao?
 
Refa kachemka vibaya mno kapuliza kipenga kanakwamba Kiiza kaotoa kumbe kulikuwa kuna beki mbele ya Kiiza
 
Tegete kwa mara ingine tena anapoteza nafasi ya wazi kabisa
 
mamaaaaa kavumbagu karudi tena kuroga maana tegete anataka kurudi taifa..
 
Mpira muda wowote unaanza uwanja wa Taifa tutakuwa bega kwa bega na wadau.

Here's Young Africans line-up to face African Lyon today:
1.Ally Mustafa
2.Juma Abdul
3.David Luhende
4.Nadir Haroub
5.Kelvin Yondani
6.Athuman Idd
7.Saimon Msuva
8.Frank Domayo
9.Jerson Tegete
10.Hamis Kiiza
11.Haruna Niyonzima

Subs:
1.Said Mohamed
2.Shadrack Nsajigwa
3.Stephano Mwasika
4.Nurdin Bakari
5.Nizar Khalfani
6.Said Bahanuzi
7.Didier Kavumbagu

kuwa fair taja na kikosi cha African Lyon na ikiwezekana na waamuzi wanaochezesha leo
 
Mpaka sasa Tegete angekuwa ametupia 5
 
kuwa fair taja na kikosi cha African Lyon na ikiwezekana na waamuzi wanaochezesha leo

Mkuu pilau mi natangaza upande wa Yanga huo mwingine nimewaachia Simba wanao washangilia
 
Last edited by a moderator:
Haya kikosi cha Azam hiki hapa

1. Azam Ice cream
2. Azam Cola
3. Azam malt
4. Azam Uhai
5. Azam Milk Lollies
6. Azam Biskuit
7. Azam wheat flour
8. Azam Sembe
9. Azam Chapati Tayari
10. Azam Chocolate Ripple
11. Azam Yoghurt

Substitute:
12. Azam Marine
13. Azam Special Bread
14. Azam Rice
15. Azam Ball Cone
 
kuwa fair taja na kikosi cha African Lyon na ikiwezekana na waamuzi wanaochezesha leo

Ngoja nirudi Oman nitawatajia na cha Afrique Lioness. Nimemaliza cha Azam soon, eeeh....ngoja kwanza.., hivi Bakhresa hauzi pilau kweli...?
 
Last edited by a moderator:
Wazee wa Oman waliwafunga Lyon 3 wakajinadi kwamba sasa tutawakoma. Sisi leo tunapiga 5 tuoneshe tafauti ya Oman (tende halua), na Turkey (Ulaya Ulaya)
 
Back
Top Bottom