Mbona sauti yako iko chini sanayanga daima!
Nimesema mkishinda, hapo munaongoza, au hujui maana ya kushinda? Kwakua munaongoza ngoja niwakojoleeni
Pamoja sana mkuu...
Ndipo uwezo wao ulipo ishia hapooo! Ngoja wajeda wawa jedueniNaona hapa uwanjani mashabiki wanakaanga chips....
Yanga wanashindwa kutumia nafasi nyingine kuwainua vitini.
yanga daima!
Hawa Ruvu naona wanataka kuharibu sherehe dakika za lala salama hizi.
Cannavaro yupo chini anagalauka baada ya kubabuliwa mpira wa kwenye kile kiungo kilicho mnanilihuu Simba SC
bado dk ngapi maana mnashangilia sana kwani ngapi ngapi..
mmmhhhhhh.....
Ndipo uwezo wao ulipo ishia hapooo! Ngoja wajeda wawa jedueni