Matokeo ni vipi wakuu hadi sasa??
Hiyo milango inabidi iwe migumu hivyo hivyo hasa kwa Benjamin Haule.Milango ni migumu...
Hiyo milango inabidi iwe migumu hivyo hivyo hasa kwa Benjamin Haule.
Hawa Ruvu ni Vilaza kweli, jitahidini sasa mrudishe.Dk 47
Goaaaallll Kiiza Kiizaaa
Hawa Ruvu ni Vilaza kweli, jitahidini sasa mrudishe.
Na hali ilivyo hapa nadhani watafungwa tena...
Mukishinda leo nita kunya juuya meza
Frank Domayo yupo chini kapata majeraha...anayolewa nje