Yanga Sc Twendeni Tukacheze Derby

Yanga Sc Twendeni Tukacheze Derby

Nataka nisitaki kama mademu
Mara hatuchezi mara tukacheze nyie msilete timu uwanjani muone ndomu 3
Tulia. Uwanjani tunakuja na tunacheza ili kuwakomoa hampati point za mezani mpate ubingwa. Tunapiga pale walipopiga Berkane.
 
Simba tutakutana kwenye CRDB fainal atapata stahiki yake.
Kule NBC wapewe tu kombe lakini Tff na bodi watapata stahiki yao kulingana na uovu wao.
 
Ukweli ni kwamba Simba Sc wanatamani tusicheze ili wajichukulie kombe kwa ushindi wa mezani. Tukiendelea kukataa kwenda uwanjani hawa jamaa watapewa ushindi wa mezani. Hatutashushwa daraja wala kuporwa points (busara itatumika) lakini Simba atapewa point tatu na hivyo kuwafanya wawe mabingwa.

Sasa kuwakomoa twendeni tukakipige nao maana sisi hata sare inatutosha. Lengo wakose vikombe vyote (washakosa cha CAF) na wasipate sehem ya kujifariji.

Berkane washafungua code za kuwafunga hawa wahuni (Pressing ). Hata Singida Black Stars walijaribu na tumeona walivyopata tabu kwenye kupata ushindi ikafikia wakati mpaka kipa wa Simba anapoteza muda.

Sisi twende na ile format kama tuloyoitumia kwa Azam tunawakanda mapema tu hawa hawana timu. Lakini pia wale refarii watano hawatakiwi kuchezesha hii mechi.

Venue iwe New Amaan, ikishidikana twende Chamazi , ikishindikana KMC Complex. Kwa Mkapa tusiende wanaroga sana hawa watu.

Ushauri wangu twende tukakipige nao ili wababki na msemo tu mbona mmecheza. Ila tusiwape nafasi wapate kombe lolote msimu huu ni wahuni na wanastahili kupelekwa kihuni. Wao wapo tayari hata leo itangazwe Simba Bingwa na watafurahia. Sasa tusiwape hiyo nafasi.

Mwanzoni mwa ligi tunaweza kuweka msimamo kuwa hatutashiriki ligi inayoanza mpaka Bodi ya Ligi ifumuliwe tuanze upya. Hapo hata wakitushsuha Daraja ni sawa tu maana tutakuwa na mashindano ambayo tuna sifa zote za kushiriki na kuwaachia ligi yao.

TWENDENI TUKACHEZE NAO.
HATUCHEZI
 
Ukweli ni kwamba Simba Sc wanatamani tusicheze ili wajichukulie kombe kwa ushindi wa mezani. Tukiendelea kukataa kwenda uwanjani hawa jamaa watapewa ushindi wa mezani. Hatutashushwa daraja wala kuporwa points (busara itatumika) lakini Simba atapewa point tatu na hivyo kuwafanya wawe mabingwa.
Simba wanaingiaje kwenye maamuzi yenu? Yaani muamue wenyewe kuwa hamchezi, mjiapize kwa miungu yote kuwa hamchezi, mchapishe T-shirt wenyewe zilizoandikwa hamchezi, halafu leo uje useme eti Simba wanatamani msicheze?

Wewe sema neno hili tu; kwamba haukubaliani na viongozi wenu katika suala la kutocheza. Usiwasingizie Simba, uwe wazi tu kwamba haukubaliani na Hersi, Arafat, Ali Kamwe, Mwigulu, kocha wenu na wenzao wote waliojitokeza hadharani na kutamka kuwa HAMCHEZI. Usione aibu kuwakosoa, hautafukuzwa uanachama
 
Tulia. Uwanjani tunakuja na tunacheza ili kuwakomoa hampati point za mezani mpate ubingwa. Tunapiga pale walipopiga Berkane.
Mkija uwanjani itakuwa ni furaha yetu, ya Bodi na ya TFF ambao wote tulishasema MTACHEZA
 
Ukweli ni kwamba Simba Sc wanatamani tusicheze ili wajichukulie kombe kwa ushindi wa mezani. Tukiendelea kukataa kwenda uwanjani hawa jamaa watapewa ushindi wa mezani. Hatutashushwa daraja wala kuporwa points (busara itatumika) lakini Simba atapewa point tatu na hivyo kuwafanya wawe mabingwa.

Sasa kuwakomoa twendeni tukakipige nao maana sisi hata sare inatutosha. Lengo wakose vikombe vyote (washakosa cha CAF) na wasipate sehem ya kujifariji.

Berkane washafungua code za kuwafunga hawa wahuni (Pressing ). Hata Singida Black Stars walijaribu na tumeona walivyopata tabu kwenye kupata ushindi ikafikia wakati mpaka kipa wa Simba anapoteza muda.

Sisi twende na ile format kama tuloyoitumia kwa Azam tunawakanda mapema tu hawa hawana timu. Lakini pia wale refarii watano hawatakiwi kuchezesha hii mechi.

Venue iwe New Amaan, ikishidikana twende Chamazi , ikishindikana KMC Complex. Kwa Mkapa tusiende wanaroga sana hawa watu.

Ushauri wangu twende tukakipige nao ili wababki na msemo tu mbona mmecheza. Ila tusiwape nafasi wapate kombe lolote msimu huu ni wahuni na wanastahili kupelekwa kihuni. Wao wapo tayari hata leo itangazwe Simba Bingwa na watafurahia. Sasa tusiwape hiyo nafasi.

Mwanzoni mwa ligi tunaweza kuweka msimamo kuwa hatutashiriki ligi inayoanza mpaka Bodi ya Ligi ifumuliwe tuanze upya. Hapo hata wakitushsuha Daraja ni sawa tu maana tutakuwa na mashindano ambayo tuna sifa zote za kushiriki na kuwaachia ligi yao.

TWENDENI TUKACHEZE NAO.
Hakuna ushindi wa mezani
Mkileta timu mtapigwa tu
Msipoleta pointi 3 za Mnyama

Chagueni kipi kinawafaa😎😎
 
Yes kucheza ni muhimu ili kuwaziba midomo. Hawa tukisema tusicheze hatutashushwa daraja wala kupokwa pinits , ila wao watapewa pints na kupewa ubingwa, Na kumbuka hawa jamaa wanachotaka ni ile ubingwa tu. Sasa dawa kucheza nao ili wasi[pate lolote mwaka huu.
Mtacheza tu mburula nyie
 
Back
Top Bottom