- Thread starter
- #21
Tulia. Uwanjani tunakuja na tunacheza ili kuwakomoa hampati point za mezani mpate ubingwa. Tunapiga pale walipopiga Berkane.Nataka nisitaki kama mademu
Mara hatuchezi mara tukacheze nyie msilete timu uwanjani muone ndomu 3
Tulia. Uwanjani tunakuja na tunacheza ili kuwakomoa hampati point za mezani mpate ubingwa. Tunapiga pale walipopiga Berkane.Nataka nisitaki kama mademu
Mara hatuchezi mara tukacheze nyie msilete timu uwanjani muone ndomu 3
Kwamba unajua kutukana kulio wengine?Una shida kichwani jitafakari.Nyie njooni refa tushamnunua kitambo.... refa lazima atupe penalty na mtakula red card kummamae
HuelewekiUjinga si kitu cha kuuliza kwa mashabiki wa yanga.
Mechi ipo pale pale na selikali inataka Taifa Benjamin mkapa ionekane imekarabatiwa.
100%YANGA BINGWA
HATUCHEZIUkweli ni kwamba Simba Sc wanatamani tusicheze ili wajichukulie kombe kwa ushindi wa mezani. Tukiendelea kukataa kwenda uwanjani hawa jamaa watapewa ushindi wa mezani. Hatutashushwa daraja wala kuporwa points (busara itatumika) lakini Simba atapewa point tatu na hivyo kuwafanya wawe mabingwa.
Sasa kuwakomoa twendeni tukakipige nao maana sisi hata sare inatutosha. Lengo wakose vikombe vyote (washakosa cha CAF) na wasipate sehem ya kujifariji.
Berkane washafungua code za kuwafunga hawa wahuni (Pressing ). Hata Singida Black Stars walijaribu na tumeona walivyopata tabu kwenye kupata ushindi ikafikia wakati mpaka kipa wa Simba anapoteza muda.
Sisi twende na ile format kama tuloyoitumia kwa Azam tunawakanda mapema tu hawa hawana timu. Lakini pia wale refarii watano hawatakiwi kuchezesha hii mechi.
Venue iwe New Amaan, ikishidikana twende Chamazi , ikishindikana KMC Complex. Kwa Mkapa tusiende wanaroga sana hawa watu.
Ushauri wangu twende tukakipige nao ili wababki na msemo tu mbona mmecheza. Ila tusiwape nafasi wapate kombe lolote msimu huu ni wahuni na wanastahili kupelekwa kihuni. Wao wapo tayari hata leo itangazwe Simba Bingwa na watafurahia. Sasa tusiwape hiyo nafasi.
Mwanzoni mwa ligi tunaweza kuweka msimamo kuwa hatutashiriki ligi inayoanza mpaka Bodi ya Ligi ifumuliwe tuanze upya. Hapo hata wakitushsuha Daraja ni sawa tu maana tutakuwa na mashindano ambayo tuna sifa zote za kushiriki na kuwaachia ligi yao.
TWENDENI TUKACHEZE NAO.
Simba wanaingiaje kwenye maamuzi yenu? Yaani muamue wenyewe kuwa hamchezi, mjiapize kwa miungu yote kuwa hamchezi, mchapishe T-shirt wenyewe zilizoandikwa hamchezi, halafu leo uje useme eti Simba wanatamani msicheze?Ukweli ni kwamba Simba Sc wanatamani tusicheze ili wajichukulie kombe kwa ushindi wa mezani. Tukiendelea kukataa kwenda uwanjani hawa jamaa watapewa ushindi wa mezani. Hatutashushwa daraja wala kuporwa points (busara itatumika) lakini Simba atapewa point tatu na hivyo kuwafanya wawe mabingwa.
Mkija uwanjani itakuwa ni furaha yetu, ya Bodi na ya TFF ambao wote tulishasema MTACHEZATulia. Uwanjani tunakuja na tunacheza ili kuwakomoa hampati point za mezani mpate ubingwa. Tunapiga pale walipopiga Berkane.
Hakuna ushindi wa mezaniUkweli ni kwamba Simba Sc wanatamani tusicheze ili wajichukulie kombe kwa ushindi wa mezani. Tukiendelea kukataa kwenda uwanjani hawa jamaa watapewa ushindi wa mezani. Hatutashushwa daraja wala kuporwa points (busara itatumika) lakini Simba atapewa point tatu na hivyo kuwafanya wawe mabingwa.
Sasa kuwakomoa twendeni tukakipige nao maana sisi hata sare inatutosha. Lengo wakose vikombe vyote (washakosa cha CAF) na wasipate sehem ya kujifariji.
Berkane washafungua code za kuwafunga hawa wahuni (Pressing ). Hata Singida Black Stars walijaribu na tumeona walivyopata tabu kwenye kupata ushindi ikafikia wakati mpaka kipa wa Simba anapoteza muda.
Sisi twende na ile format kama tuloyoitumia kwa Azam tunawakanda mapema tu hawa hawana timu. Lakini pia wale refarii watano hawatakiwi kuchezesha hii mechi.
Venue iwe New Amaan, ikishidikana twende Chamazi , ikishindikana KMC Complex. Kwa Mkapa tusiende wanaroga sana hawa watu.
Ushauri wangu twende tukakipige nao ili wababki na msemo tu mbona mmecheza. Ila tusiwape nafasi wapate kombe lolote msimu huu ni wahuni na wanastahili kupelekwa kihuni. Wao wapo tayari hata leo itangazwe Simba Bingwa na watafurahia. Sasa tusiwape hiyo nafasi.
Mwanzoni mwa ligi tunaweza kuweka msimamo kuwa hatutashiriki ligi inayoanza mpaka Bodi ya Ligi ifumuliwe tuanze upya. Hapo hata wakitushsuha Daraja ni sawa tu maana tutakuwa na mashindano ambayo tuna sifa zote za kushiriki na kuwaachia ligi yao.
TWENDENI TUKACHEZE NAO.
Mtacheza tu mburula nyieYes kucheza ni muhimu ili kuwaziba midomo. Hawa tukisema tusicheze hatutashushwa daraja wala kupokwa pinits , ila wao watapewa pints na kupewa ubingwa, Na kumbuka hawa jamaa wanachotaka ni ile ubingwa tu. Sasa dawa kucheza nao ili wasi[pate lolote mwaka huu.