Yanga Sc Twendeni Tukacheze Derby

Yanga Sc Twendeni Tukacheze Derby

Mkoba Jnr

Member
Joined
Feb 8, 2025
Posts
66
Reaction score
133
Ukweli ni kwamba Simba Sc wanatamani tusicheze ili wajichukulie kombe kwa ushindi wa mezani. Tukiendelea kukataa kwenda uwanjani hawa jamaa watapewa ushindi wa mezani. Hatutashushwa daraja wala kuporwa points (busara itatumika) lakini Simba atapewa point tatu na hivyo kuwafanya wawe mabingwa.

Sasa kuwakomoa twendeni tukakipige nao maana sisi hata sare inatutosha. Lengo wakose vikombe vyote (washakosa cha CAF) na wasipate sehem ya kujifariji.

Berkane washafungua code za kuwafunga hawa wahuni (Pressing ). Hata Singida Black Stars walijaribu na tumeona walivyopata tabu kwenye kupata ushindi ikafikia wakati mpaka kipa wa Simba anapoteza muda.

Sisi twende na ile format kama tuloyoitumia kwa Azam tunawakanda mapema tu hawa hawana timu. Lakini pia wale refarii watano hawatakiwi kuchezesha hii mechi.

Venue iwe New Amaan, ikishidikana twende Chamazi , ikishindikana KMC Complex. Kwa Mkapa tusiende wanaroga sana hawa watu.

Ushauri wangu twende tukakipige nao ili wababki na msemo tu mbona mmecheza. Ila tusiwape nafasi wapate kombe lolote msimu huu ni wahuni na wanastahili kupelekwa kihuni. Wao wapo tayari hata leo itangazwe Simba Bingwa na watafurahia. Sasa tusiwape hiyo nafasi.

Mwanzoni mwa ligi tunaweza kuweka msimamo kuwa hatutashiriki ligi inayoanza mpaka Bodi ya Ligi ifumuliwe tuanze upya. Hapo hata wakitushsuha Daraja ni sawa tu maana tutakuwa na mashindano ambayo tuna sifa zote za kushiriki na kuwaachia ligi yao.

TWENDENI TUKACHEZE NAO.
 
Ukweli ni kwamba Simba Sc wanatamani tusicheze ili wajichukulie kombe kwa ushindi wa mezani. Tukiendelea kukataa kwenda uwanjani hawa jamaa watapewa ushindi wa mezani. Hatutashushwa daraja wala kuporwa points (busara itatumika) lakini Simba atapewa point tatu na hivyo kuwafanya wawe mabingwa.

Sasa kuwakomoa twendeni tukakipige nao maana sisi hata sare inatutosha. Lengo wakose vikombe vyote (washakosa cha CAF) na wasipate sehem ya kujifariji.

Berkane washafungua code za kuwafunga hawa wahuni (Pressing ). Hata Singida Black Stars walijaribu na tumeona walivyopata tabu kwenye kupata ushindi ikafikia wakati mpaka kipa wa Simba anapoteza muda.

Sisi twende na ile format kama tuloyoitumia kwa Azam tunawakanda mapema tu hawa hawana timu. Lakini pia wale refarii watano hawatakiwi kuchezesha hii mechi.

Venue iwe New Amaan, ikishidikana twende Chamazi , ikishindikana KMC Complex. Kwa Mkapa tusiende wanaroga sana hawa watu.

Ushauri wangu twende tukakipige nao ili wababki na msemo tu mbona mmecheza. Ila tusiwape nafasi wapate kombe lolote msimu huu ni wahuni na wanastahili kupelekwa kihuni. Wao wapo tayari hata leo itangazwe Simba Bingwa na watafurahia. Sasa tusiwape hiyo nafasi.

Mwanzoni mwa ligi tunaweza kuweka msimamo kuwa hatutashiriki ligi inayoanza mpaka Bodi ya Ligi ifumuliwe tuanze upya. Hapo hata wakitushsuha Daraja ni sawa tu maana tutakuwa na mashindano ambayo tuna sifa zote za kushiriki na kuwaachia ligi yao.

TWENDENI TUKACHEZE NAO.
hii lazma tucheze kolo hatakiwi kuchukukua kikombe hata cha kahawa msimu huu
 
Ni kuwapelekea moto dakika zote 90. Tutajifikiria kwanza, kuona walichofanya tukikubaliana majibu yatatoka. Yanga lazima amfumue aliposhonwa na Berkane hili halina ubishi.
 
Msimamo wenu wa # hatuchezi umeshayeyuka ghafla mara hii???!!!!!😃😃😃, maake mlisema Bora mshuke daraja kuliko kula matapishi yenu.

Mmelegezwa mkalegea kama mkate ndani ya chai vile 😄
 
Kudadadeki , tayari mmelegea tu wenyeeeweee! Tabia za kidemu hizi! Sitaki huku anataka.
Tuliwambia mtacheza tu hata kwa fimbo mtacheza ila mkawa mnakaza mafuvu . Ona sasa hii aibu.
Sijui yule mla urojo ataficha wapi uso wake.
 

Ujinga si kitu cha kuuliza kwa mashabiki wa yanga.​


Mechi ipo pale pale na selikali inataka Taifa Benjamin mkapa ionekane imekarabatiwa.​

 
Nataman tucheze
Yes kucheza ni muhimu ili kuwaziba midomo. Hawa tukisema tusicheze hatutashushwa daraja wala kupokwa pinits , ila wao watapewa pints na kupewa ubingwa, Na kumbuka hawa jamaa wanachotaka ni ile ubingwa tu. Sasa dawa kucheza nao ili wasi[pate lolote mwaka huu.
 
Back
Top Bottom