GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,568
- 108,911
“Tumefika salama nyumbani na leo au kesho tunatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Enyimba. Wachezaji wetu (4) na viongozi (3) waliokutwa na Corona wako salama na hakuna mwenye maambukizi nadhani zilikuwa mbinu chafu za wapinzani wetu.
.
“Bado wagenyi wetu (Yanga) hawajatupa taarifa ni lini wanatarajia kuwasili nchini (Nigeria) lakini tumejipanga kuwapokea kama walivyotupokea.”
- Afisa habari wa Rivers United, Charles Mayuku.
Chanzo: sportsarena_tz
Ushauri pekee ambao Poisonous kwa nia njema tu nautoa kwa Yanga SC ni kuwaomba wahairishe tu Kusafiri kwenda huko nchini Nigeria kwa Mchezo wa Marudiano.
Kwa Taarifa za ndani kabisa kutoka kwa Wanaijeria waishio hapa Tanzania na kile walichoambiwa na Wanaijeria walioko huko Kwao ni kwamba Wachezaji na Viongozi wa Yanga SC wanaenda kufanyiwa Fujo ambayo hawajawahi kukutana nayo tokea wazaliwe kama sehemu yao ya Kulipiza Kisasi kwa walichofanyiwa kwa Mkapa.
Wana Yanga SC mlishaonywa mno kuachana na tabia yenu ya kupenda Fujo na Ubabe mliozoea Kuufanya ndani ya Tanzania ila hamkusikia sasa Mashabiki wa Rivers United FC na Wanaijeria mtakaokutana nao huko Kwako Port Harcourt wataenda kuwafundisheni Adabu na mtakachokipata huko kitakuwa ni Fundisho Kwenu.
Yaani Uwanjani wanaenda Kuwafunga Goli nyingi na kuishia katika hatua ya Awali ya CAF CL lakini pia mnaenda Kupigwa, Kuumizwa na kufanyiwa Fujo ya maana mpaka muwaamkie Shikamoo na mje msimuliane vizuri pale Madimbwini Kwenu Kaunda au kule Baharini Avic Town.
Na mlivyo Majuha badala ya Siku ile ile ya Tukio la Makomandoo wenu Kumpiga na Rungu Kichwani na Kumpasua na Kumchania Nguo Daktari wao Kukiri Kosa hilo na Kiungwana Kuomba ( Kuwaomba ) Radhi nyie mpaka leo mmeuchuna tu hali ambayo inaonyesha kuwa Tukio lile lilikuwa na Baraka yenu Uongozi wa Yanga SC na GSM Wenu hivyo subirini Kisasi hicho mnapoenda Kwao.
Na wanayemtamani mno ni Haji Manara.
.
“Bado wagenyi wetu (Yanga) hawajatupa taarifa ni lini wanatarajia kuwasili nchini (Nigeria) lakini tumejipanga kuwapokea kama walivyotupokea.”
- Afisa habari wa Rivers United, Charles Mayuku.
Chanzo: sportsarena_tz
Ushauri pekee ambao Poisonous kwa nia njema tu nautoa kwa Yanga SC ni kuwaomba wahairishe tu Kusafiri kwenda huko nchini Nigeria kwa Mchezo wa Marudiano.
Kwa Taarifa za ndani kabisa kutoka kwa Wanaijeria waishio hapa Tanzania na kile walichoambiwa na Wanaijeria walioko huko Kwao ni kwamba Wachezaji na Viongozi wa Yanga SC wanaenda kufanyiwa Fujo ambayo hawajawahi kukutana nayo tokea wazaliwe kama sehemu yao ya Kulipiza Kisasi kwa walichofanyiwa kwa Mkapa.
Wana Yanga SC mlishaonywa mno kuachana na tabia yenu ya kupenda Fujo na Ubabe mliozoea Kuufanya ndani ya Tanzania ila hamkusikia sasa Mashabiki wa Rivers United FC na Wanaijeria mtakaokutana nao huko Kwako Port Harcourt wataenda kuwafundisheni Adabu na mtakachokipata huko kitakuwa ni Fundisho Kwenu.
Yaani Uwanjani wanaenda Kuwafunga Goli nyingi na kuishia katika hatua ya Awali ya CAF CL lakini pia mnaenda Kupigwa, Kuumizwa na kufanyiwa Fujo ya maana mpaka muwaamkie Shikamoo na mje msimuliane vizuri pale Madimbwini Kwenu Kaunda au kule Baharini Avic Town.
Na mlivyo Majuha badala ya Siku ile ile ya Tukio la Makomandoo wenu Kumpiga na Rungu Kichwani na Kumpasua na Kumchania Nguo Daktari wao Kukiri Kosa hilo na Kiungwana Kuomba ( Kuwaomba ) Radhi nyie mpaka leo mmeuchuna tu hali ambayo inaonyesha kuwa Tukio lile lilikuwa na Baraka yenu Uongozi wa Yanga SC na GSM Wenu hivyo subirini Kisasi hicho mnapoenda Kwao.
Na wanayemtamani mno ni Haji Manara.