Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Klabu ya Yanga SC ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya Kimataifa ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports Juni 15, 2025 mchezo huo ukiwa unalenga kujenga uhusiano mzuri na klabu hiyo.
Mchezo huo utachezwa Mjini Kigali, Rwanda.
Kukubali mwaliko huo kwa Yanga kunathibitisha dhamira yao ya kukataa kucheza mechi dhidi ya watani wao Simba mechi iliyoahirishwa Machi 8, 2025.
Mchezo huo utachezwa Mjini Kigali, Rwanda.
Kukubali mwaliko huo kwa Yanga kunathibitisha dhamira yao ya kukataa kucheza mechi dhidi ya watani wao Simba mechi iliyoahirishwa Machi 8, 2025.