Yanga SC kucheza mechi ya kirafiki na Rayon Sports Juni 15 Kigali, yakataa mechi ya Dabi dhidi ya Simba

Yanga SC kucheza mechi ya kirafiki na Rayon Sports Juni 15 Kigali, yakataa mechi ya Dabi dhidi ya Simba

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Klabu ya Yanga SC ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya Kimataifa ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports Juni 15, 2025 mchezo huo ukiwa unalenga kujenga uhusiano mzuri na klabu hiyo.

Mchezo huo utachezwa Mjini Kigali, Rwanda.

Kukubali mwaliko huo kwa Yanga kunathibitisha dhamira yao ya kukataa kucheza mechi dhidi ya watani wao Simba mechi iliyoahirishwa Machi 8, 2025.

1748762362459.png
 
Simba Bingwa,
Utopolo acheze Kigali au Lupaso. Simba Bingwa NBC Ligi

Simba Bingwa,
Utopolo acheze Kigali au Lupaso. Simba Bingwa NBC Ligi

Simba Bingwa,
Utopolo acheze Kigali au Lupaso. Simba Bingwa NBC Ligi

Simba Bingwa,
Utopolo acheze Kigali au Lupaso. Simba Bingwa NBC Ligi
 
Simba Bingwa,
Utopolo acheze Kigali au Lupaso. Simba Bingwa NBC Ligi

Simba Bingwa,
Utopolo acheze Kigali au Lupaso. Simba Bingwa NBC Ligi

Simba Bingwa,
Utopolo acheze Kigali au Lupaso. Simba Bingwa NBC Ligi

Simba Bingwa,
Utopolo acheze Kigali au Lupaso. Simba Bingwa NBC Ligi
Kama singida anakutoa kamasi utaweza kaka yake?
 
Back
Top Bottom