Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,242
Hahaha maneno ya mbwembwe juu uko ngoja kina mwaisa wawaonyeshe watu wameshiba mbaraga we unachukulia poa
Lawama ziko wapi?acha lawama
Offside ya mchongoHiinsasa ndo offside ila ile ya mwanzo ilikuwa na uwalakini
lenye mchanganyiko wa offsideYanga wanapiga kandanda safi
Kumbe umeona mkuuLine 2 anawahujumu Yanga
Camera za Azam tu zenyewe bado sana.Onside mbili linesman anasema offside..
Tunahitaji kuinvent VAR yetu.
Na kama siyo hujuma za wazi, basi huenda huyu line 2 atakuwa ana uwezo mdogo wa kutafsiri offside. Na jambo hili halikubaliki hata kidogo.Line 2 anawahujumu Yanga
GSM haoLine 2 anawahujumu Yanga