Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,620
- 2,142
Mwaka 2016 Yanga walimsajili Mrisho Ngasa na wakati akiwa na mkataba na Azam na Simba hivyo Yanga walivunja kanuni za usajili ilitakiwa kwanza Yanga iwasiliane na Simba maana mchezaji alikuwa kwa mkopo Simba akitoka Azam badala yake TFF haikuipa adhabu Yoyote Yanga ilitakiwa Yanga afungiwe asisajili kwa mujibu ya sheria hapa TFF walibeba Yanga nimeshakupa mfano kuwa TFF wanazibeba sana Simba na YangaTFF Ni lini waliifavour Yanga kwenye maamuzi yao. Itoshe kusema Karia na wahuni wenzie siku zao zinahesabika hapo karume mwezi wa name siyo mbali tunaenda kufuatilia mbali upuuzi huu wote.