Yanga mnaivimbia TFF kisa kanuni imekiukwa. Mmejipanga kuzifuata kanuni zote au ni mihemko tu?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,405
TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.

Lakini ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.

Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.

Kitendo cha Yanga kuikaba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kanuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maana TFF wameshikilia mpini.
 
TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.

Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.

Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.

Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.
Ngoja tuone mwisho wa hii mtifuano itakuwaje
 
TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.

Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.

Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.

Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.
Ni lini TFF iliivumilia Yanga?
BTW jifunze kuandika.
 
TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.

Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.

Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.

Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.
Hakuna kitu Kama hicho, kanuni lazima zifuatwe
 
Kama kuandika tu hujui sasa utajua nini kuhusu kanuni za mchezo wa mpira?
 
Nashauri TFF ifungiwe miaka miwili ma faini ya milion 20 kwa kukiuka sheria na taratibu za mpira nchini.

Lazima wachukuliwe hatua kama wavyochukulia wengine hatua wakikiuka taratibu na sheria zao walizoweka.
 
TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.

Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.

Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.

Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.
Kama TFF walipokea maaagizo toka serikalin kuhusu mabadiliko ya muda basi yanga wameigomea serikali........
 
TFF inaendesha Mambo yake kwa kuzingatia kanuni na sheria. Ni sawa.

Lkn ni mara nyingi sana TFF imekuwa ikifumbia macho makosa mengi ya ukiukwaji wa kanuni na sheria zake yanayofanywa na vilabu vyetu, vikiwemo Yanga na Simba.

Ni muktadha huo wa kubebana na kuchukuliana ndiyo TFF iliutumia kusukuma mbele kwa masaa mawili mpambano wa watani wa jadi, Simba na Yqnga.

Kitendo cha Yqnga kuikqba koo TFF kinamaliza enzi za kuchukuliana na kubebana. Yanga inaiambia TFF kwamba Sasa izifuate kqnuni zake kwa 100%. Hapa naona atakayeumia ni Yanga, maqna TFF wameahikilia mpini.

Wakati Yanga SC wanang'ang'ana na saa 24 kupewa taarifa. TFF wanaweza kuchomoa kwa hicho kifungu cha tatu. Wakisema walichoelezwa na upande wa Serikali kilikuwa ni cha dharura na msingi.

Wakati huo, si kila kilicho cha dharura na msingi kwa TFF, ni lazima kiwe hivyo kwa Yanga SC.

Kuna upenyo wa ki-mamlaka TFF wanaweza kuutumia na kulingana na kwamba wao si kisiwa, bado wanahitaji kufanya kazi vyema na Serikali.

Ukisoma sheria na kanuni tusipende kuutumia mstari mmoja, baadaye ndo tunabwagwa kirahisi sana.

Huwezi kugomea jambo la Serikali, hasa pale unaendesha mambo yako chini ya mwanvuli wake, uwanja wao na ulinzi ni wao. Ili uendeshe hiyo michezo unahitaji ushiriki wa Serkali kwa njia moja au nyingine.

Wakikwambia tuna dharura ya chochote kwa tukio linaloenda kutokea hapo uwanjani huwezi kuvimba ukaendelea kwani huwezi kujibeba kivyakovyako.

Mengine tunabaki ni ushabiki na ukereketwa tu.

Screenshot_20210508-193706.png
 
Ndiyo kama ikikuwa nje ya kanuni ni sawa kuigomea hawataki janja janja
Sasa mssitupigie kelele nendeni mkaandamane kuelekea mtumba ilipo wizara ya michezo ..kama shabiki yenu alitembea toka kigomaa mpaka dsm sasa na nyie zamu yenu mfike walau dodoma tu
 
Sasa mssitupigie kelele nendeni mkaandamane kuelekea mtumba ilipo wizara ya michezo ..kama shabiki yenu alitembea toka kigomaa mpaka dsm sasa na nyie zamu yenu mfike walau dodoma tu
Hatuandamani ndiyo tushamaliza hivyo, nina imani tff hawatsrudia ujinga tena wamejifunza kuzingatia kanuni kuanzia sasa.
 
Back
Top Bottom