kambale mnene
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 271
- 197
Utani wa simba na yanga ulijengwa kwenye misingi ya ushindani toka huko nyuma hasa uwezo wa uwanjani.
Leo utani umetoka kwenye misingi yake badala yake imekuwa mashambulizi ya mtu na mtu au kundi na mtu.
Imefika mahali chuki imekuwa kubwa hata huku mitaani.
Imefika mahali timu fulani ikikutwa na kadhia fulani au kiongozi wa timu fulani,watu wanatukanana hovyo.
Vijana wanawatukana wazee utadhani kwao hakuna wazee.
HALI HII IKIACHWA IENDELEE HUKO MBELE ITAKUWA NA MADHARA MAKUBWA KWA TAIFA.
Leo hii Haji Manara anatukanwa pande zote,mitandaoni mpk mitaani.
Je huu ni utani?
Tunajua tff imeoza haitamaniki na ndiyo chanzo cha matatizo ya mpira wetu,haiwezi kukemea timu yoyote.
JE WIZARA YENYE DHAMANA NA SOKA LETU HAIONI HAYA?
weusi wenzetu huko ulaya wakiitwa nyani sisi tunalalamika,lakini Mara kadhaa tumeona mamlaka zao zikitoa adhabu kwa timu husika ili mashabiki zao wasiendelee kubagua rangi za binaadam wenzao.
Sakata la manara kufungia,anakula matusi ya nguoni,ana baguliwa na kuitwa majina mengi mabaya kutokana na ulemavu wake,je huu ni utani wa mpira?
Serikali ipo tu!
Moja ya sheria za jamii forum ni kutomshambulia mtu bali kumjibu hoja.
LEO WAPENZI WA SIMBA WANAMKASHIFU HAJI NA KUMTUSI VIBAYA VIBAYA, MAADIMIN MPO KIMYA TU WALA HAMCHUKUI HATUA!!!!
Mfano huyu gentermycine,kwa siku anaanzisha nyuzi nyingi za kumkashifu na kumtusi Haji,lakini kesho na kesho kutwa utamkuta yupo tu humu anatembea na nyuzi zake.
MAADIMIN
Mmelala,macho hayaoni,fahamu hazifanyi kazi au?
Mpk leo hakuna tusi linalothibitishwa waziwazi kuwa Haji kamtukana Karia.
Wasemaji wanamung'unya maneno tu,wanashindwa kuyakaza,lakini wanasimba hawaoni haya wanamchafua haji,kisa alitoka kwao.
HUU NDIYO MPIRA WETU ULIPOFIKIA!!
Haji anafamilia na wazazi pia,mmejiuliza wanajisikiaje mnapomkashifu kwa kumwita sokwe mwekundu? Admin mnawaacha tu! Serikali inaacha tu!
Leo utani umetoka kwenye misingi yake badala yake imekuwa mashambulizi ya mtu na mtu au kundi na mtu.
Imefika mahali chuki imekuwa kubwa hata huku mitaani.
Imefika mahali timu fulani ikikutwa na kadhia fulani au kiongozi wa timu fulani,watu wanatukanana hovyo.
Vijana wanawatukana wazee utadhani kwao hakuna wazee.
HALI HII IKIACHWA IENDELEE HUKO MBELE ITAKUWA NA MADHARA MAKUBWA KWA TAIFA.
Leo hii Haji Manara anatukanwa pande zote,mitandaoni mpk mitaani.
Je huu ni utani?
Tunajua tff imeoza haitamaniki na ndiyo chanzo cha matatizo ya mpira wetu,haiwezi kukemea timu yoyote.
JE WIZARA YENYE DHAMANA NA SOKA LETU HAIONI HAYA?
weusi wenzetu huko ulaya wakiitwa nyani sisi tunalalamika,lakini Mara kadhaa tumeona mamlaka zao zikitoa adhabu kwa timu husika ili mashabiki zao wasiendelee kubagua rangi za binaadam wenzao.
Sakata la manara kufungia,anakula matusi ya nguoni,ana baguliwa na kuitwa majina mengi mabaya kutokana na ulemavu wake,je huu ni utani wa mpira?
Serikali ipo tu!
Moja ya sheria za jamii forum ni kutomshambulia mtu bali kumjibu hoja.
LEO WAPENZI WA SIMBA WANAMKASHIFU HAJI NA KUMTUSI VIBAYA VIBAYA, MAADIMIN MPO KIMYA TU WALA HAMCHUKUI HATUA!!!!
Mfano huyu gentermycine,kwa siku anaanzisha nyuzi nyingi za kumkashifu na kumtusi Haji,lakini kesho na kesho kutwa utamkuta yupo tu humu anatembea na nyuzi zake.
MAADIMIN
Mmelala,macho hayaoni,fahamu hazifanyi kazi au?
Mpk leo hakuna tusi linalothibitishwa waziwazi kuwa Haji kamtukana Karia.
Wasemaji wanamung'unya maneno tu,wanashindwa kuyakaza,lakini wanasimba hawaoni haya wanamchafua haji,kisa alitoka kwao.
HUU NDIYO MPIRA WETU ULIPOFIKIA!!
Haji anafamilia na wazazi pia,mmejiuliza wanajisikiaje mnapomkashifu kwa kumwita sokwe mwekundu? Admin mnawaacha tu! Serikali inaacha tu!