Manara huyohuy akasem kwamb hakuna mashabik wajnga dunian Kam wa Simba n pia ndo mbatizaj wa Jin lenu maaruf mnalolipend la makoloMacho Yako Wapi..?
Yanga hawawezi Kuona mbali...!
Hawana Macho....Manara aliwaita Hamnazo..!
Tumia busara chupi wewHivi Utopolo walijitoa au walitolewa 3-1? Mbona mnaandika mavi?
Acha kupingana na Miguel we shabiki wa supu, kama wewe hukuyapa umuhimu basi Gamondi yeye aliyapa umuhimu, hadi sasa bado yupo zenji analitaka kombe 😂Yanga haikuyapa UMUHIMU MASHINDANO Haya
Naona mnajifariji kwa kupigwa 3-1.
Tusubiri CAF Champion League tuone ilipoishia
Yanga atabeba kombe la Champion League baada ya kukosa kombe la shirikisho?
nimechekaaa balaaaKama sio Yanga kutoyapa uzito basi fainali ilipangwa iwe simba na Yanga.
Yanga alibebewa mbeleko ya chuma na bado akaitoboa, akaanzisha vikosi vya hovyo awapime wachezaji wake.
Simba nae akaona ebana eeh hapa nisiache hili kombe, mbeleko yoyote ntayobebwa nayo naishikilia.
Kabebwa nae kapita.
Vivyo hivyo kwa mlandege nae mbeleko mpak kapita.
Malengo yao ya kutaka fainali iwe Yanga na simba yamefeli, wameona bor basi wambebe anaebebeka.
Mechi ya fainali itakua ni ya kukata na shoka, hakutakua na upendeleo wowote.
5/11/2023 ulipigwa 5Hivi Utopolo walijitoa au walitolewa 3-1? Mbona mnaandika mavi?
Ngoja tusubiriKama sio Yanga kutoyapa uzito basi fainali ilipangwa iwe simba na Yanga.
Yanga alibebewa mbeleko ya chuma na bado akaitoboa, akaanzisha vikosi vya hovyo awapime wachezaji wake.
Simba nae akaona ebana eeh hapa nisiache hili kombe, mbeleko yoyote ntayobebwa nayo naishikilia.
Kabebwa nae kapita.
Vivyo hivyo kwa mlandege nae mbeleko mpak kapita.
Malengo yao ya kutaka fainali iwe Yanga na simba yamefeli, wameona bor basi wambebe anaebebeka.
Mechi ya fainali itakua ni ya kukata na shoka, hakutakua na upendeleo wowote.