Tetesi: Yanga kucheza na Simba Ngao ya Jamii

Tetesi: Yanga kucheza na Simba Ngao ya Jamii

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Kanuni mpya za mashindano zimebadilishwa kutoka ule utaratibu wa kukutanisha timu za ligi na mwisho bingwa kupatikana

Na Sasa Kwa kanuni mpya bingwa wa ligi atacheza na bingwa wa FA na kama bingwa wa ligi kuu ndo bingwa wa FA, basi mchezo wa ngao ya jamii unakuwa kati ya bingwa na timu ilishika nafasi ya pili.

Sasa rasmi Yanga ambaye ndo bingwa wa ligi na FA atacheza na Simba ambaye alishika nafasi ya pili

Hapa moto utawaka
 
Kanuni mpya za mashindano zimebadilishwa kutoka ule utaratibu wa kukutanisha timu za ligi na mwisho bingwa kupatikana
Na Sasa Kwa kanuni mpya bingwa wa ligi atacheza na bingwa wa FA na kama bingwa wa ligi kuu ndo bingwa wa FA, basi mchezo wa ngao ya jamii unakuwa kati ya bingwa na timu ilishika nafasi ya pili
Sasa rasmi Yanga ambaye ndo bingwa wa ligi na FA atacheza na Simba ambaye alishika nafasi ya pili

Hapa moto utawaka
Hakuna moto, nani ahangaike tena juu ya siasa zenu hizo?
 
Kanuni mpya za mashindano zimebadilishwa kutoka ule utaratibu wa kukutanisha timu za ligi na mwisho bingwa kupatikana
Na Sasa Kwa kanuni mpya bingwa wa ligi atacheza na bingwa wa FA na kama bingwa wa ligi kuu ndo bingwa wa FA, basi mchezo wa ngao ya jamii unakuwa kati ya bingwa na timu ilishika nafasi ya pili
Sasa rasmi Yanga ambaye ndo bingwa wa ligi na FA atacheza na Simba ambaye alishika nafasi ya pili

Hapa moto utawaka
Chanzo cha habari?
 
Kanuni mpya za mashindano zimebadilishwa kutoka ule utaratibu wa kukutanisha timu za ligi na mwisho bingwa kupatikana
Na Sasa Kwa kanuni mpya bingwa wa ligi atacheza na bingwa wa FA na kama bingwa wa ligi kuu ndo bingwa wa FA, basi mchezo wa ngao ya jamii unakuwa kati ya bingwa na timu ilishika nafasi ya pili
Sasa rasmi Yanga ambaye ndo bingwa wa ligi na FA atacheza na Simba ambaye alishika nafasi ya pili

Hapa moto utawaka
Simba alifunve tu li Yanga la ccm
 
Kanuni mpya za mashindano zimebadilishwa kutoka ule utaratibu wa kukutanisha timu za ligi na mwisho bingwa kupatikana

Na Sasa Kwa kanuni mpya bingwa wa ligi atacheza na bingwa wa FA na kama bingwa wa ligi kuu ndo bingwa wa FA, basi mchezo wa ngao ya jamii unakuwa kati ya bingwa na timu ilishika nafasi ya pili
Sasa rasmi Yanga ambaye ndo bingwa wa ligi na FA atacheza na Simba ambaye alishika nafasi ya pili

Hapa moto utawaka
Hamna moto wa kuwaka hapo.
 
Hapo tuwaombee tu wasije wakakimbia kucheza hiyo mechi kwa kisingizio chochote kile. Ikiwezekana waruhusiwe kufanya mazoezi wiki nzima usiku na mchana kwenye uwanja utakao tumika kwenye hiyo mechi.
 
Back
Top Bottom