Yanga ilikuwaje wakaitwa Kandambili na Pan Africa wakaitwa Raizoni?

Kuna dhana mbili. Moja ni kuwa mashbiki wa Yanga huvua kandambili zao na kuzishika mkononi wakisukuma basi lao kutoka Karume au taifa mpaka Jangwani. Wakawa wanaitwa kandambili.

Dhana ya pili, ni wakati wa mgawanyiko, Kina Shiraz na Mangara wakawa wanawaambia wachezaji waliobaki na Tambwe Leya kuwa achaneni na hao kandambili., jina walilokuwa Malo kabla ya mgawanyiko mje huku Raizoni.

Mashbiki wa Simba pia walikuwa wakijiita Raizoni.

Halafu Yanga hatuchukii tukiitwa kandambili. Tulipokea jina hilo with pride kutoka kwa wazee wetu. Nakumbuka tawi la Yanga mtaa wa Mkumba Temeke lilikuws linaitwa "Msichoke" na lilikuws na picha ya Kandambili kubwa tu ya kuchora kwenye ubao.
Kandambili kipindi hicho zilikua za umoja tu,ambazo zote zitakua na rangi ya njano katikati
 
Kama msitari ulikua mweupe na si njano labda ni 90 katikati kuja mbele...huko nyuma msitari ulikua njano tu
Ilikuwepo mistari myeupe. Na ilikuwepo isiyo na mistari kabisa before 90s.
na hiyo siyo sababu ya yanga kuitwa kandambili. Ni class issue.
 
Ilikuwepo mistari myeupe. Na ilikuwepo isiyo na mistari kabisa before 90s.
na hiyo siyo sababu ya yanga kuitwa kandambili. Ni class issue.
Sikuwahi ona umoja ikiwa na msitari tofauti na njano toka 80-90,sababu ya yanga kuitwa Kanda mbili ni nini?
 
Nimetoa sababu hapo juu.
Hukuwahi kuona vitu vingi sana mkuu, haimaanishi havikuwepo.
No kipindi kile hapakua na Kanda mbili zaidi ya umoja,mpaka 90 zilipokuja skyway na sunswallow,tukazitumia Kama viwalo sikukuu kwa muundo wake tofauti
 
Kuna dhana mbili. Moja ni kuwa mashbiki wa Yanga huvua kandambili zao na kuzishika mkononi wakisukuma basi lao kutoka Karume au taifa mpaka Jangwani. Wakawa wanaitwa kandambili.

Dhana ya pili, ni wakati wa mgawanyiko, Kina Shiraz na Mangara wakawa wanawaambia wachezaji waliobaki na Tambwe Leya kuwa achaneni na hao kandambili., jina walilokuwa Malo kabla ya mgawanyiko mje huku Raizoni.

Mashbiki wa Simba pia walikuwa wakijiita Raizoni.

Halafu Yanga hatuchukii tukiitwa kandambili. Tulipokea jina hilo with pride kutoka kwa wazee wetu. Nakumbuka tawi la Yanga mtaa wa Mkumba Temeke lilikuws linaitwa "Msichoke" na lilikuws na picha ya Kandambili kubwa tu ya kuchora kwenye ubao.
Kutaja tawi la mtaa wa Mkumba umenikumbusha mbali sana, Mzee alikua akinichukua kwenda nae pale tawini nikiwa Nina umri mdogo. Kahawa na Tangawizi kashata za Nazi, palichangamka sana.
Ni tawi la Zamani sana sijui kama bado lipo.
 
Me sijui ila subiri waje wakina kaka Mshana Jr watupe history kdg
Jibu ni UMASKINI!! Kipindi hicho mwenyekiti wa Yanga alikuwa anaitwa Mzee Taabu Mangara. Maarufu sana ila ila pochi ni nyembamba kama chapati!! Kwa hiyo waliitwa kandambili kuonesha kuwa ni timu maskini sana!
Kwa upande mwingine Viongozi wa Pan African walikuwa ni matajiri. Enzi hizo kiatu pendwa cha bei ya juu kilikuwa kinaitwa laizon (chenye soli kubwa iliyoinuka sana na kumfanya mvaaji aonekane ni mrefu).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom