Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,330
- 33,954
Mpaka leo wachora katuni hutumia picha ya Kandambili kuwakilisha timu ya Yanga. Nakumbuka ni utani kati ya Yanga na Pan African, ndiyo ulileta jina la Kandambili Yanga na Raizoni Pan African.
Raizoni ndiyo vilikuwa viatu vya maana sana zama hizo, na Kandamimbili zilikuwa zinavaliwa na watu maskini na hohe hahe. Ni kwa nini Yanga huwa inapewa majina ya kuonesha kuwa wao ni watu wa Makasiriko??
Raizoni ndiyo vilikuwa viatu vya maana sana zama hizo, na Kandamimbili zilikuwa zinavaliwa na watu maskini na hohe hahe. Ni kwa nini Yanga huwa inapewa majina ya kuonesha kuwa wao ni watu wa Makasiriko??