Yanga: Hatuna Mwanasheria, Hatuna Watu wenye Busara kwenye Uongozi, hatuna watu wenye Elimu ya kufaa

Yanga: Hatuna Mwanasheria, Hatuna Watu wenye Busara kwenye Uongozi, hatuna watu wenye Elimu ya kufaa

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
Tuna UTOTO MWINGI NA USHAMBA. HILI SUALA NILIMWAMBIA MTU AKAISHIA KUNIITA MIMI MKIA. TUMEKUWA KAMA LAST BORN ALIYEDEKEZWA SANA NA ANAYEPENDA KUDEKA.
Screenshot_2025-03-18-10-55-21-142_com.whatsapp~2.jpg
 
Tuna UTOTO MWINGI NA USHAMBA. HILI SUALA NILIMWAMBIA MTU AKAISHIA KUNIITA MIMI MKIA. TUMEKUWA KAMA LAST BORN ALIYEDEKEZWA SANA NA ANAYEPENDA KUDEKA.
View attachment 3274925

Mbona hili Lipo wazi.!

Hata Haji Manara alithubutu kusema Wote Yanga Hamnazo isipokuwa Wawili tu...!

Tena, alimtolea mfano Hersi akasema unaweza kumuona mtu Msomi mzuri kama injinia Lkn Linapokuja suala la Yanga yake anakuwa kama Zuzu..!
 
Nani kasusia match? Jamaa walitujaza kwenye mfumo kipuuzi tu. Wao wamesusia match wapi? Match ilihairishwa
Simba alisusia mechi kwa kushirikiana na hiyo bodi ya ligi. Kama asingetafuta kisingizio cha kujifanya anaenda kufanya mazoezi, hiyo mechi ingeahirishwa kimagumashi kwa sababu ipi?
 
Simba alisusia mechi kwa kushirikiana na hiyo bodi ya ligi. Kama asingetafuta kisingizio cha kujifanya anaenda kufanya mazoezi, hiyo mechi ingeahirishwa kimagumashi kwa sababu ipi?
Wapi Simba amesusia match? Match iliharishwa mbona hili suala halihitaj hata certificate kulielewa?
 
Simba alisusia mechi kwa kushirikiana na hiyo bodi ya ligi. Kama asingetafuta kisingizio cha kujifanya anaenda kufanya mazoezi, hiyo mechi ingeahirishwa kimagumashi kwa sababu ipi?
Kufanya mazoezi kikanuni ni kujifanya kweli mapenzi upuuzi
 
Acheni kujidhalilisha! Hao mabaunsa mnaowatumia kama kichaka cha kujificha, walikuwa mia ngapi mpaka wawazuie nyinyi wote kuingia uwanjani? Hoja zenu ni dhaifu mpaka basi.
Kwamba wachezajinwangeshuka wakqwapinga ngumi hahahaaaa
 
Acheni kujidhalilisha! Hao mabaunsa mnaowatumia kama kichaka cha kujificha, walikuwa mia ngapi mpaka wawazuie nyinyi wote kuingia uwanjani? Hoja zenu ni dhaifu mpaka basi.
Unachosema ni kuwa hamkuizuia Simba kuingia uwanjani?
 
Unachosema ni kuwa hamkuizuia Simba kuingia uwanjani?
Yaani mimi nataka mnipe picha yenye uhalisia! Hao Makomandoo wa Yanga walikuwa wangapi, na walikuwa na silaha gani kiasi cha kuwafanya muogope kuingia uwanjani!

Maana hili tukio mlilishuhudia nyinyi wenyewe.
 
Back
Top Bottom