Yanga acheni mpira wa Magazetini

Mkuu Ngoma, Chirwa na Kamusoko leo hawakucheza? Naomba nifahamishe kwani naandika hii post nikiwa huku " maporini " kabisa.
Walicheza na waliwapiga sana chenga waghana.... Tatizo hawajui kulenga goli. Sijajua kama na nyumbani pia hawajui kulenga au laa.
 
Mkija toboa mnyama kesha pita tena kitaaaaambo, natilia mkazo neno TENA.
fb1670d77cbff22996a83fb1178a9596.jpg

Mnyama gani? Simba koko?
 
Naona jina la Wakimataifa linaendelea kufutika.Uchezeshaji wa mpira Tz unahitaji waamzi sahihi watakao tupatia timu sahihi kwa uwakilishi wenye mafanikio.
Kweli wamatopeni hamuishiwi maneno. Hizi mechi mbili zote mlizotuchangia points 6 na magoli ma4 tuliwafunga sababu ya waamuzi eti?
 
Klabu bingwa ya Tanzania Yanga pamoja Na kucheza Mpira kwenye magazeti zaidi Leo wameshindwa Kwa Mara nyingine tena kuutumia vena uwanja wa nyumbani.Yanga Wa kimataifa zaidi wamezidi kuwaonyesha Watanzania kuwa wao Kwa kucheza mpira Na Magazeti ni hatari sana kuliko kucheza uwanjani.Ukisoma magazeti ya Leo utaamini kuwa timu yacGhana itafungwa magoli mengi sana kumbe ni kinyume chake.Yanga , mpiraa ni uwanjani acheni kucheza magazetini
Klabu bingwa ya Tanzania Yanga pamoja Na kucheza Mpira kwenye magazeti zaidi Leo wameshindwa Kwa Mara nyingine tena kuutumia vena uwanja wa nyumbani.Yanga Wa kimataifa zaidi wamezidi kuwaonyesha Watanzania kuwa wao Kwa kucheza mpira Na Magazeti ni hatari sana kuliko kucheza uwanjani.Ukisoma magazeti ya Leo utaamini kuwa timu yacGhana itafungwa magoli mengi sana kumbe ni kinyume chake.Yanga , mpiraa ni uwanjani acheni kucheza magazetini
Yanga haichezi kwenye magazeti ila magazeti ndio yanayocheza mpira wa Yanga nakuomba uwe makini na maelezo ya kwenye magazeti
 

Kwani sisi Simba SC tunacheza mpira gani? Ni kheri mpira wa Magazeti kuliko huu wetu ambao hata ubingwa ni shida tu...
 

Mkuu Ngoma, Chirwa na Kamusoko leo hawakucheza? Naomba nifahamishe kwani naandika hii post nikiwa huku " maporini " kabisa.

Ni kheri wao wana wachezaji kama hao, na wanapata matokeo mazuri ngazi ya ligi.

Kuliko sisi viongozi wetu wanasajili akina Kiongera, na vilaza wengineo wa kigeni wakidhani wataiwezesha Simba SC kuwa mabingwa.
 
Naona jina la Wakimataifa linaendelea kufutika.Uchezeshaji wa mpira Tz unahitaji waamzi sahihi watakao tupatia timu sahihi kwa uwakilishi wenye mafanikio.

Ulitaka Marefa waipe ubingwa Simba SC ndio tuseme kwamba wanachezesha vyema?

Tatizo letu Simba ni Utaratibu wa usajili.
 
Mkija toboa mnyama kesha pita tena kitaaaaambo, natilia mkazo neno TENA.

Mpaka Simba SC tukifikia hatua ya kusajili wachezaji wa nje kaliba ya hao wa Yanga, nadhani nao hawata kuwa hapo walipo.

Kwa Simba yetu sijui tutawafikia lini. Ngoja tusubiri
 

Mpaka Simba SC tukifikia hatua ya kusajili wachezaji wa nje kaliba ya hao wa Yanga, nadhani nao hawata kuwa hapo walipo.

Kwa Simba yetu sijui tutawafikia lini. Ngoja tusubiri
Kina Mafisango na Okwi vipi?? Ni zaidi ya hawa walio yanga sasa.
 
Klabu bingwa ya Tanzania Yanga pamoja Na kucheza Mpira kwenye magazeti zaidi Leo wameshindwa Kwa Mara nyingine tena kuutumia vena uwanja wa nyumbani.Yanga Wa kimataifa zaidi wamezidi kuwaonyesha Watanzania kuwa wao Kwa kucheza mpira Na Magazeti ni hatari sana kuliko kucheza uwanjani.Ukisoma magazeti ya Leo utaamini kuwa timu yacGhana itafungwa magoli mengi sana kumbe ni kinyume chake.Yanga , mpiraa ni uwanjani acheni kucheza magazetini
Yanga ndio mabingwa wa Tz, huo ni ukweli na si magazeti
 
Mwakani kama kawaida wawakilishi ni Yanga na Azam.
Hayo ni mashindano ya kimataifa. Wa matopeni labda 2018!
Na hiyo ni labda! !
 
Hata kama Yanga haikufanya kile ambacho Watz waliktarajia lakini ukweli ni kwamba Yanga ndo timu bora kwa ukanda huu wa EA hasa kwa kipindi hiki maana imezitoa timu ngumu sana kabla ya kuingia kwenye makundi
 
Mtani miaka yote bingwa hats mafanikio japo kidogo? Acha imani za uchawi Moira hauna uchawi zaidi ya wachezaji wazuri Na maandalizi
 
Yanga mbovu tuu! Hata mjitetee vipi timu haina uwezo wakimataifa.Hata mtuite wamatopeni mara 1000 haifuti ukweli kuwa Yanga ni mbovu.
 
'Sherehe za utoaji tuzo zanogeshwa na matokeo ya mazembe' ni moja ya heading kwenye gazeti leo likimaanisha Yanga waliparty kwa matokeo hayo wakimaanisha washafuzu tayari! hahahaha
 
Klabu bingwa ya Tanzania Yanga pamoja Na kucheza Mpira kwenye magazeti zaidi Leo wameshindwa Kwa Mara nyingine tena kuutumia vena uwanja wa nyumbani.Yanga Wa kimataifa zaidi wamezidi kuwaonyesha Watanzania kuwa wao Kwa kucheza mpira Na Magazeti ni hatari sana kuliko kucheza uwanjani.Ukisoma magazeti ya Leo utaamini kuwa timu yacGhana itafungwa magoli mengi sana kumbe ni kinyume chake.Yanga , mpiraa ni uwanjani acheni kucheza magazetini
" YANGA YAAGA MASHINDANO"
 
Back
Top Bottom