Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Unateseka?Tundu kaamua kupiga hela za kampeni huku akijua hashindi
Unateseka?Tundu kaamua kupiga hela za kampeni huku akijua hashindi
Kazi ipo
Kwahiyo umekubali Jiwe kashindwa hivyo m-badala mwingine uwepo?Aeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Johnthebaptist.Aeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
AMESHAKWAMBIA KUNA UHURU WA KUJIELEZA HAPO KUNA AJIRA, MAANA HAYA UNAYOYAANDIKA KILA SIKU HAPA JF NA ID FAKE, UNGEKUWA HURU UNGEKUWA UNAYAANDIKA KWENYE BLOG YAKO AU YOUTUBE NA UNAPIGA HELAAeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Kwahiyo ajira zitategemea zaidi sekta binafsi!Johnthebaptist.
Ungejipa muda wa kumsikiliza bila shaka ungepata jibu la swali lako.
Ameeleza kinagaubaga kwamba suala lajira haliwezi kutatuliwa na serikali peke yake. Hivyo atahakikisha atatengeneza mazingira rafiki kwa sekta binafsi ili kwa kushirikiana na serikali waweze kutatua tatizo la ajira.
Shida ninayoiona kwa washabiki wengi wa ccm mmejikita kwenye kubeza badala ya kusikiliza hoja.
Amechambua vizuri mambo ya bima ya afya, uboreshaji wa elimu na namna serikali yake itakavyoshughulikia mikopo ya elimu ya juu kwa wote wenye sifa na bila ubaguzi, makato yao uatapunguzwa kutoka 15% mpaka 3%
Amefafanua namna serikali za majimbo zitakavyofanyakazi, nk.
Tena anaongea kwa lugha laini na nyepesi kuielewa, sijui ni kwanini ccm supporters hamuelewi.
Baada ya CCM kuharibu uchumi hasa sector Binafsi na kuongeza unemployment rate....Aeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Singida Chadema itazoa majimbo yoteSingida inaandika HISTORIA......kuna mtu kanuna kweli kweli
Mbona Ccm hawalizungumzii?LEO NINGEPENDA KAMA ANGENZUNGUMZIA SWALA AJIRA AISEEE
Mko pamoja wapi? Upo Singida?Tuko pamoja .
Atajuwa akifika huko huko, mnapenda maelezo, kudanganywa, kila siku ahadi tu ndio mnaridhika?Aeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Mungu huinua watu wakeMcheza kwao hutunzwa.Ndivyo tunavyoweza kuelezea mapokezi ya Tundu Lissu hapo Jana alipokanyaga Ardhi aliyozaliwa.
Leo Mgombea huyo anayepewa nafasi kubwa zaidi ya kushinda atafanya kampeni zake katika Jimbo la Mkalama na baadaye Singida Mjini.
Tundu Lissu ameandika historia mpya ya Mgombea anayependwa na maarufu zaidi kati ya wagombea wote ingawa hajaweka bango hata moja katika nchi nzima huku mshindani wake wa Karibu akiwa ametapaza mabango kila mahali mpaka kwenye miti ya watu mashambani na vichochoroni.
Katika hali inayochekesha na kushangaza vigenge vya wanaCCM vinavyofadhiliwa na chama hicho vimekuwa vikiandaa tafiti feki za kuonyesha mgombea wao atashinda ili kuhadaa watu na labda kuhalalisha wizi wa kura.
Tunatarajia kuwaletea kila kinachojiri katika kampeni za Leo za mgombea huyu ambaye anaonekana wazi ana kibali duniani na mbinguni
Ccm kila chaguzi wanaahidi kulitatua tatizo hili lakini hakuna jipya mkuuAeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Tunasuburi updates za nguvu....tuko live na mabando kila mahaliMcheza kwao hutunzwa.Ndivyo tunavyoweza kuelezea mapokezi ya Tundu Lissu hapo Jana alipokanyaga Ardhi aliyozaliwa.
Leo Mgombea huyo anayepewa nafasi kubwa zaidi ya kushinda atafanya kampeni zake katika Jimbo la Mkalama na baadaye Singida Mjini.
Tundu Lissu ameandika historia mpya ya Mgombea anayependwa na maarufu zaidi kati ya wagombea wote ingawa hajaweka bango hata moja katika nchi nzima huku mshindani wake wa Karibu akiwa ametapaza mabango kila mahali mpaka kwenye miti ya watu mashambani na vichochoroni.
Katika hali inayochekesha na kushangaza vigenge vya wanaCCM vinavyofadhiliwa na chama hicho vimekuwa vikiandaa tafiti feki za kuonyesha mgombea wao atashinda ili kuhadaa watu na labda kuhalalisha wizi wa kura.
Tunatarajia kuwaletea kila kinachojiri katika kampeni za Leo za mgombea huyu ambaye anaonekana wazi ana kibali duniani na mbinguni
Kwa kingereza tunasema...HE IS! Kama nimekosaea msinilaumu.Watanzania kila kona ya nchi wanasema NI YEYE
Kila chguzi ahadi zile zile 60yrs now.Ccm kila chaguzi wanaahidi kulitatua tatizo hili lakini hakuna jipya mkuu