Mama Mghwira ametamka na kuomba mambo ya msingi ambayo yakifanyiwa kazi basi tutafika tunapotaka kufika
Ndio Tume hawana makosa lakini ilibidi wahakiki matokeo vizuri na kuyaweka sawa. Tunampongeaza Rais Mteule na Pia tufanye marekebisho kwa tume, kama inafanya kazi kwa ushabiki madhara ni kwa nchi, lakini kwa watanzania ni watu wastaarabu, Hivi angalia Jumla ya watu waliojitokeza kupiga kura. halafu jumlisha kura walizopata wagombea zinazidi kura za waliojitokeza kupiga kura. hapo kwa akili ya haraka unaona ni jisi gani tume hawakuwa makini na ujumlishaji wa kura.
Arusha mgao umerudi pale pale tuko gizani mida hii
hata huku Dar umeme unakatika unarud baada ya SAA moja unakaa dakika tank unakatika halafu kuna mapanya buku eti yanashangilia na kuimba hapa kazi tuu.
:behindsofa:Kwa hiyo unataka kutuambia time haina hatia..kwani wasimamizi wa uchaguzi ni mawakala au time? Usituchefue hapa..tume ilipaswa kufuatialia from the grassroot..maana yenyewe ndio iliteuwa wasimamizi ikiwemo wakurugenzi...na Kama vyama vimelalamika Kama wanasimamia hali kwanini wasiwasikilize na kuomba vithibiti..instead wanatangaza matokeo kutukomoa wananchi?
Duuu Mzee Mengi kazomewaa maskiniii
Kwani hati inaagizwa toka ulaya? Mtanyooka tu. Watanzania sio wajinga. Miaka zaidi ya 8 mnaimba ufisadi leo hii fisadi namba 3 kwenye list yenu ndio tumpe nchi. Tulistuka mapema na kwa kutumia vichinjio vyetu vya kikatiba tumewanyooshaTetetetetetet hiyo Hati iliandaliwa lini Pamoja na hiyo sherehe ya kukabidhi, kweli Wana haraka
Kwani hati inaagizwa toka ulaya? Mtanyooka tu. Watanzania sio wajinga. Miaka zaidi ya 8 mnaimba ufisadi leo hii fisadi namba 3 kwenye list yenu ndio tumpe nchi. Tulistuka mapema na kwa kutumia vichinjio vyetu vya kikatiba tumewanyoosha
CCM watimiza rasmi kauli yao ya goli la mkono, hata kushangilia wanaona aibu wamebakia majumbani kwa. Wanamtangaza kwa kumwaga Polisi mitaani kuhofia nguvu ya umma. Asnateni NEC kwa kutuchagulia rais na kubaka democracy.
Mtaweweseka sana.
Hata ubeze wenzako,ukweli utabakia kwamba wameshinda kwa hila,wao wanajua,mawakala wao wanajua, na wananchi wanajua,ardhi ni shahidi,kuta ziliona,na mbingu pia.goli la mkono limetupatia mtawala.suala la yeye kuwa kiongozi mzuri au la ni suala jingine.
Ndivyo mnavyojidanganya?
Mwizi siku zote hudhani kaibiwa.
Ndivyo mnavyojidanganya?
Mwizi siku zote hudhani kaibiwa.