Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,233
- 138,749
Mke yupo?
Arusha mgao umerudi pale pale tuko gizani mida hii
Tumebakia kudanganywa na AMANI, eti tutunze amani wakati Gesi anachukuwa mchina, Dhahabu wazungu, Wanyama Waarabu. Watanzania wakitakakujua Rasilimali zao Wapuuzi CCM wanatuambia tutunze AMANI. Amani my asssssssssss. F^%$$# AMANI. Hiyo AMANI ndio itanipa ajira au Elimu? Tumepumbazwa vibaya sana na CCM. CCM wanauza nchi kwa Wageni huku wakituambia tuilinde AMANI na sio Rasilimali zetu.
Jamani mbona hakuna kiongozi hata mmoja kutoka zanzibar kwenye sherehe ya kukabidhiwa cheti ya magufuli na suluhu?
Mkuu, miye naona Tume hawana makosa kwa sababu wao wanasema walikuwa wanatangaza matokeo kama "wanavyoyapokea" kwa maana kwamba hawakufanya edit yoyote tofouti na kujumilisha idadi, kama wametoa idadi ya jumla kuwa tofauti na ile waliyopokea hapo ndo pa kulaum Tume, lakini kama matokeo yalichezewa yakiwa njiani kutoka majomboni kwenda Tume hilo sio kosa la Tume. Aidha, kama yalichezewa wakati wa kuyajumlisha huko majimboni hiyo ni kazi ya mawakala waliowekwa na vyama.
Mwanza pia wamekata baada ya Mama Anna Mgwira kumaliza kuongea.
Kwahiyo unataka kufanyaje kwa mfano???
Mkuu, miye naona Tume hawana makosa kwa sababu wao wanasema walikuwa wanatangaza matokeo kama "wanavyoyapokea" kwa maana kwamba hawakufanya edit yoyote tofouti na kujumilisha idadi, kama wametoa idadi ya jumla kuwa tofauti na ile waliyopokea hapo ndo pa kulaum Tume, lakini kama matokeo yalichezewa yakiwa njiani kutoka majomboni kwenda Tume hilo sio kosa la Tume. Aidha, kama yalichezewa wakati wa kuyajumlisha huko majimboni hiyo ni kazi ya mawakala waliowekwa na vyama.
Jamani mbona hakuna kiongozi hata mmoja kutoka zanzibar kwenye sherehe ya kukabidhiwa cheti ya magufuli na suluhu?
Uloi nga mâché68;14505891 said:Wewe ni mchohezi unapaswa kukamatwa mara moja!
Jk anamwaga mipasho du!
Mkuu, miye naona Tume hawana makosa kwa sababu wao wanasema walikuwa wanatangaza matokeo kama "wanavyoyapokea" kwa maana kwamba hawakufanya edit yoyote tofouti na kujumilisha idadi, kama wametoa idadi ya jumla kuwa tofauti na ile waliyopokea hapo ndo pa kulaum Tume, lakini kama matokeo yalichezewa yakiwa njiani kutoka majomboni kwenda Tume hilo sio kosa la Tume. Aidha, kama yalichezewa wakati wa kuyajumlisha huko majimboni hiyo ni kazi ya mawakala waliowekwa na vyama.