MMM anasema Jaji ameshaingia, hapa vipiLeo kesi hiyo inaendelea tena mahakamani hapo ambapo Jamhuri itaendelea kuleta mashahidi wake , kumbuka kwamba mpaka leo Mbowe ametimiza siku 111 gerezani .
Jaribio la Kishamba lililopangwa na Polisi la kuzuia watu kuingia Mahakamani limeshindwa , nguvu ya umma imeshinda .
Ngoja tuone leo Shahidi atakayeletwa atatoa ushahidi gani .
==========