Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Leo mabingwa watarajiwa Simba wanakata tiketi ya nusu fainali. Wale wasindikizaji wengine uwajuao wanacheza kesho.
Leo mende anaangusha kabati, mikia hatutawaona tena hapa jukwaani.
Leo mabingwa watarajiwa Simba wanakata tiketi ya nusu fainali. Wale wasindikizaji wengine uwajuao wanacheza kesho.
No, mshindi kati ya Yanga na JKU atakutana na Azam au Mtibwa. Simba/Taifa Jang'ombe atakutana na KCCA/Polisi. Uwezekano wa Simba kukutana na Yanga ni fainali endapo Simba atakomaa hadi mwisho.
ukweli ni kwamba Wazenji japo wamewakilishwa na timu nyingi za majeshi (KMKM, Polisi, Mafunzo) WANAONEKANA KUBADILIKA SANA KWA KUCHEZA KWA NGUVU (si kimdebwedo tena) na kuimarika kila mechi, so sishangai usemacho hapa.........ingawa simba nao wanaonekana kubadilika kwa kucheza kiushindani zaidiLeo mende anaangusha kabati, mikia hatutawaona tena hapa jukwaani.
Simba huwa mnyonge sana kwa Azam/Mtibwa, so bado shughuli pevu hapoNo, mshindi kati ya Yanga na JKU atakutana na Azam au Mtibwa. Simba/Taifa Jang'ombe atakutana na KCCA/Polisi. Uwezekano wa Simba kukutana na Yanga ni fainali endapo Simba atakomaa hadi mwisho.
KUNA MABADILIKO MAKUBWA sIMBA WAMEONYESHA NA HASA KUCHEZA KIUSHINDANI ZAIDI, Yanga wamejiamini na kuanza kucheza kibinafsi.........sasa JKU wanacheza team work na wana stamina, Yanga wabadilike kdg mechi ijayo
Simba huwa mnyonge sana kwa Azam/Mtibwa, so bado shughuli pevu hapo
Isomers are compounds having the same chemical formula but different properties due to different orientations of atoms; that is what happened yesterday, you will see the heavy rainfall 2morrow.
rule of the thumb never applies to football
Twasubiri kwa hamu namhala!Mkuu leo umenifurahisha sana. Nakuhakikishia nitakuwa wima kuhakikisha kuwa updates zinatiririka hapa JF bila upendeleo wowote ule.
Ninapitia JF rules nione kama naweza kumfikisha mahakamani mkuu mmoja mbele ya Mh. Invisible. Mimi nitakuwa JF Prosecutor, karani ni Kitoabu, mashahidi ni sembo, PrN-kazi, mkolaj na BBA, vielelezo ni posts alizopost mkuu huyo (jina kapuni) na matokeo halisi ya mechi ya leo.
Simba asikonde sisi tutampigia huyo Azam au Mtibwa, akomae tu na hivi vitimu ili tukutane.
Ila timu ambayo imetimia kuliko zote tukiacha ushabiki ni KCCA .Zingine zina kasoro zake ndogo ndogo!
mnyama leo kazi moja
Nimepata hii kuwa ndo first eleven ya leo:
1.Manyika P
2.H. Kessy
3. M H. Tsabalala
4.H Isihaka
5.J. Murshid
6.J. Mkude
7.R. Singano
8.S. Ndemla
9.E. Maguli
10.D Sserunkuma
11.MTANI JEMBE
Substitutes
D.Richard,N. Masoud, I. Rashid , I Twaha, I. Ajibu S. Kisiga S Sserunkuma, A. Banda na A Seseme