Lazima tufike mahali tuweke ushabiki pembeni (japokuwa dhana ya muziki ni ushabiki) lakini kama tuninia ya dhati ya kuufanya muziki wetu uwe wa level za juu lazima tuwe wawazi na tuchukue hatua stahiki.Umemaliza yote mkuu.
Kwani Raymond kamchanaje?Mjage na screen shots basi...Jamani Baraka kaandika nini huko instagramu baada ya kuchanwa na Raymond?
argriiiiiiii si aliimba.Kwani Raymond kamchanaje?Mjage na screen shots basi...
Aaarrrggghhh
Mambo ya kuleta ubuyu nusunusu inakera sana.
Sikuangalia show mkuu,nisamehe bure.argriiiiiiii si aliimba.
Kama Joh Makini mweusi Baraka tutamuitaje.
Kiba atakua anatetemeka uko
Hahahahah! Kwanini mkuu? Au kwakuwa amemsifia sana mzee wa usafini.. Tekno amefanya poa sana and kumbuka amepiga liveMwakani wamlete hata Sam wa Ukweli kuliko hawa kutoka Naijeria kina Teknoooooo.
alifanya chini ya ukubwa wa jina lake.Hahahahah! Kwanini mkuu? Au kwakuwa amensia sana mzee wa usafini.. Tekno amefanya poa sana and kumbuka amepiga live
mda huo kelele za simba zilitawala
Mimi nasisitiza tena Kiba ashauriwe apunguze hivi 'vikolabo'. Yani sijui kwanini mtu makini kama seven anaruhusu msanii wake atokee kwenye vikolabo kila kukicha tena wasanii ambao sio heavyweights??Nilijua tu utakuja na utetezi huu,hata ingekuwaje sitegemei kuona positivity kutoka kwako juu ya Kiba.
The video is amazing ila Dimpoz kachemka aiseee,sijui Kiba asingembeba huo wimbo ungekuwaje.
Nimependa walivyovyaa Kiafrika...inapendeza.
Kiba alikua anafanya nini pale?,amsha amsha anazidiwa na mr blue na akina stamina?,mawingu wanajaribu sana kumuinua but habebeki,wote tumeona tukiweka ushabiki pembeni,kiba hakuna alichofanya hapoWasanii waliopiga asubui imekula kwao , Show iliisha baada ya Kiba kushuka Ukumbini kwa watu wenye akili.
Waliopiga live show kali.
ni Kiba na Bella ila watu bwanaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Na Tekno msisahau wakuu.. Ni moja ya waliopiga show nzuri za live usiku wa jana..Sijui The bold kaona hii?
Mimi nasisitiza tena Kiba ashauriwe apunguze hivi 'vikolabo'. Yani sijui kwanini mtu makini kama seven anaruhusu msanii wake atokee kwenye vikolabo kila kukicha tena wasanii ambao sio heavyweights??
Kuna tatizo kwenye management au yeye mwenyewe kingi ndio ana tatizo..
Alafu Nifah mimi napenda sana mziki wa Ali kiba, mfano ile nyimbo yake ya Hadithi aliyomshirikisha Mr. Mims aisee ile ni moja kati ya nyimbo zangu bora za Bongo Fleva.. Au hii nyimbo ya cheketua daaaaahh imenishika na moja ya nyimbo ninayoisikiliza sana..
nikugeuze princess sema nini unatakaaa unavyobiringa bayoyoooo hivyo ndo mi nataka sana sanaaaa
Hahahahahaha!! Mashallaaaaahh kijana amejaliwa kipaji na anajua kuimba ila mimi kuna vitu vidogo vidogo ananiboa sana..
sawa mkuuNa Tekno msisahau wakuu.. Ni moja ya waliopiga show nzuri za live usiku wa jana..