ufyudhi
JF-Expert Member
- Apr 29, 2015
- 772
- 536
Bella anapiga live show kila wikend.. So hata umwamshe sa nane usiku hawezi haribu.. Pia katika utengenezaji wa nyimbo zake studio, wanaopiga vyombo ni haohao wanaokuja kumpigia vyombo stejini so wanajua wanachokifanya yaani wana chemistry..Sijui kwanini wanamuziki wa kibongo inapokuja ku perform live ukiondoa christian bella wengi wanaimba tofauti na nyimbo zao tunazoziona kwenye luninga na redioni. Pumzi na key zinapotea sijui tatizo liko wapi.
Si umeona alivopanda steji kapanda na wapiga vyombo wake