Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,010
- 74,655
Anajitambu sio fuata upepo
Kwa hiyo ACT ule upitishaji wa ile miswada mnaona ilikuwa sawa? Ndio maana mnapewa majina ya ajabu
Anajitambu sio fuata upepo
Kama waliachana Kwa nini atumie hill jina, yeye hana wazazi?
Hivi nae ni mtoto wa hayati baba wa Taifa?
Huyo ni mmoja ya wabunge wa kupeana aka viti maalumu ambaye hajitambui,anajipendekeza CCM ili october arudi tena mjengoni,sasa kurudi tena bungeni asahau labda magamba wamkumbuke kwenye ukuu wa wilaya.Habari! naangalia Bunge sasa nimekuwa suprize kumuona Mh. Mbunge huyu wa CHADEMA
Kulikoni wakuu? Kwani amejitoa CHADEMA tayali? na tena kauliza swali la nyongeza.
Aa! kumbejina hata mbuzi analo! ulitegemea nini kama hajapata adhabu yeye atoke kwa adhabu ya wengine? yamepitishwa mangapi wakiwamo! kulikuwa na kosoro ip ktk muswada ule kupelekea wao kugoma, kilajambo lazima upinge hatakama jema kwa wananchi!Kwa hiyo ACT ule upitishaji wa ile miswada mnaona ilikuwa sawa? Ndio maana mnapewa majina ya ajabu
20000kmlabda tuulizie huyu yericko nyerere bingwa wa thread za uwongo anatoka uzao upi wa nyerere
MBOWE kasikia witowako!!Natoa mwito huyu mama Leticia aache kutumia jina la Nyerere mara moja.Ni dhahiri huyu ni mganga njaa.
Mbona Mch. Dr. Gertrude Rwakatale anatumia jina ex-husband wake, lakini hamuhoji?
Mbona hao wenyeshibe hawajagoma mafao!!Hahaha yaani njaa nyengine hizi dah