Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Nacklick wapi? Hairespond kabisaaa.
Naombeni Link ya kusikiliza hili bunge Online jamani. Please
Mkuu, ina maana walemavu hawana haki ya kujua yaliyomo kwenye katiba zetu?Hivi katiba ya Zanziba imeandikwa kwa nukta nundu? Hapa Mpanju analidanganya bunge kwa kunukuu vifungu katika katiba ya Zanzibar.
Lissu ni zaidi ya mashine
Unazungumzia Chadema au Tundu Lissu? Kama ni mfuatiliaji mzuri ungeweza kuona mipasho wanayotoa Chadema na matusi juu, sasa wakijibiwa ndio iwe nongwa?....haifai bwana jino kwa jino.
Ni kweli alipuuzwa si kwa ajili ya macho yake, bali kwa hoja na ndio kinachofanyikaWalemavu wanadeka sana aisee,wanatumia vibaya ulemavu wao,kwamba wao wasichalenjiwe,hawa wametumwa,inajulikana ivo
Naombeni Link ya kusikiliza hili bunge Online jamani. Please
Dah kweli kabisa. Yani hata mashine kama Robot au production lines zinautashi kidogo kuliko huyu mtu mropokaji kama mwehu.
Ujinga huu hakika ni aibu kwa JF
hapo unaangalia mkuu kama una internet iliyo sawaNacklick wapi? Hairespond kabisaaa.
Nimemsikia mama Kabaka akisema kuwa jinsia ni tunu ya Taifa. Hoja yake kaijenga kwa kuwauliza wanaume kwamba wangejisikiaje kama wangekuwepo wanaume peke yao ndani ya bunge. Akaendelea kuwaulizia wangefurahi kama wangekuwa peke yao. Mmmmmmhh mimi nimebaki macho pima