Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,823
- 3,828
Ukweli gani unaoongea zaidi ya kuleta uchonganishihumu? Hakika umeniudhi kweli. Itoshe kubaguana kisiasa na si kimaumbile.
Huyu Mpanju anauzi mkuu, na anasababisha walemavu kudharauliwa kwasababu yake.