Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Mjumbe wa bunge malumu la katiba mpanju ameendelea kutafuta huruma kwa kutumia ulemavu wake, baadhi ya wajumbe walisema yafuatayo kuhusu huruma ya mpanju anayotafu kwenye jamii, huwezi ukawa mjinga kama mpanju halafa ukatafuta huruma kwenye jamii kwa kisingizio cha ulemavu
Mawazo yako na akili yako haina tofauti na hawa watu.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    88.7 KB · Views: 140
Inayokuja ni zamu ya Jussa lakini matangazo yameanza matatizo ya kukatikakatika na yalikuwa hayana tatizo lolote
 
Mbona umeferii? Hv anachofanya lisu ni mipasho au hoja, Hv nani asiyeamini kuwa Tuna Muungano? mtu ana simama na kusema Muungano siyo sahihii. Watu milioni 45 wanaamini halafu yeye haamini , kisa Mwanasheria.

Hao milion 45 ndio walio pendekeza serikali tatu,sasa utuambie hayo maoni ya serikali mbili ni maoni ya nani???jibu kwanza hilo.
 
Back
Top Bottom