Magwanda mkipata kiti cha Uzini, najifuta uanachama wa CCM na sitowatetea tena, lakini sijiungi na magwanda wala chama kingine chochote, naachana kabisa na unazi wa siasa za kijinga. Na ntaihama Tanzania kwa mara nyingine, maana itakuwa si nchi tena hii. Magwanda hawa magwanda? Unguja? Duhhhh! labda akiwa Zitto ndio Mwenyekiti.