Yanayoendelea nchini: Nape atupa madongo

Yanayoendelea nchini: Nape atupa madongo

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,950
Reaction score
134,020
Screenshot_2017-09-23-18-53-38.png

Screenshot_2017-09-23-18-54-17.png

Screenshot_2017-09-23-18-55-21.png

Katika ukurasa wake wa Insta Nape Nnauye ameandika haya. Pia ameweka picha akiwa na Lowasa akisema historia ni mwalimu mzuri.

Ujumbe mkubwa alioutoa Nape ni kusema " Ushetani huanzia pale unapowafanya watu kama vitu'
 
Nape alishawahi sema Lowassa in maiti haiwezi kuingia ikulu. Leo Lowassa amekuwa shujaa wa Nape..???
Wanasiasa hawatatuletea maendeleo zaidi ya chuki tuu. Maendeleo huletwa na wewe mwenyewe
 
View attachment 594216
View attachment 594217
View attachment 594218
Katika ukurasa wake wa Insta Nape Nnauye ameandika haya. Pia ameweka picha akiwa na Lowasa akisema historia ni mwalimu mzuri.

Ujumbe mkubwa alioutoa Nape ni kusema " Ushetani huanzia pale unapowafanya watu kama vitu'
Kwa bahati mbaya sana Nape hakuyaona hayo alipokua katika meza ya karamu ya bwana. Alizurura nchi nzima akimtukana Lowasa leo limegeukia kwake anajifanya mpenda maendeleo. Hatari sana unafiki hautamuacha mtu
 
Siasa wanaiweza wanasiasa lakini pia hata wale wanaoamua kuingia kwenye siasa wakiwa na dhamira ya dhati wataiweza pia
 
Uuuuuuuwwiiii uuuuwwiii uuuuwwiii uuuuwwiii Uuuuuuuwwiiii
 
He, kumbe na huyu bwana wa kuvua magamba na bao la mkono bado yupo? Kuna maisha nje ya uhishimiwa wa kisiasa!
 
Mmmhhh!!, ndio maana mimi sizipendi siasa, Maana Rafiki yako leo kwenye siasa aweza kuwa Adui yako kesho, na Adui yako leo, aweza kuwa rafiki yako kesho.
 
Nijuacho kama bado angekuwa Mwenezi CCM au Waziri halafu akaandika Kiingereza cha namna hiyo ""Likes things"" ndo ungejua kuwa Uchaga ni ugweno siyo Machame!!!
Ila kwa kuwa sasa hivi kwetu ni ASALI MWAMBANI hilo hatulioni wala Hutalisikia
 
Mmmhhh!!, ndio maana mimi sizipendi siasa, Maana Rafiki yako leo kwenye siasa aweza kuwa Adui yako kesho, na Adui yako leo, aweza kuwa rafiki yako kesho.
Nape haja poteza. Hivi uoga wa kuingiza siasa kwa watu ambao sio wanasiasa kama leo hii yote kuna watu wanaonyeshwa mimi niko hivi. Hata Ukanda ni sehemu ya kuhofia kwa hiyo tusubiri 2019 ndo tutaanza kutafutana humu ndani ndio maana na Mimi sitoki.
 
Back
Top Bottom