Yanaumiza na yanaathiri kisaikolojia

Yanaumiza na yanaathiri kisaikolojia

Mapenzi yameniumiza sana inafikikia hatua nikumuona mtu anaongozana na mpenzi wake njiani Nahisi kuumia moyoni au Mtu akiwa anaongea na mpenzi wake Kwa njia ya simu Naona kama ananipigia kelele yaani ananivuruga nakua nachukia sana natamani ata kumwambia kaongelee kuleee .......[emoji41]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ni muda sasa wa kwenda kulima "vinyungu"/bustani bondeni.🤔
 
FB_IMG_16852760301485137.jpg
FB_IMG_16852760378943056.jpg
 
Mapenzi yameniumiza sana inafikikia hatua nikumuona mtu anaongozana na mpenzi wake njiani Nahisi kuumia moyoni au Mtu akiwa anaongea na mpenzi wake Kwa njia ya simu Naona kama ananipigia kelele yaani ananivuruga nakua nachukia sana natamani ata kumwambia kaongelee kuleee .......[emoji41]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Pole! Get well soon [emoji4]
 
Mapenzi yameniumiza sana inafikikia hatua nikumuona mtu anaongozana na mpenzi wake njiani Nahisi kuumia moyoni au Mtu akiwa anaongea na mpenzi wake Kwa njia ya simu Naona kama ananipigia kelele yaani ananivuruga nakua nachukia sana natamani ata kumwambia kaongelee kuleee .......[emoji41]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Pole[emoji23]
Tafuta Hela,
Kula vizuri, Vaa upendeze
Utakuja kutoa ushuhuda hapa ila pambania point no 2[emoji13] (Tafuta hela)

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Mapenzi yameniumiza sana inafikikia hatua nikumuona mtu anaongozana na mpenzi wake njiani Nahisi kuumia moyoni au Mtu akiwa anaongea na mpenzi wake Kwa njia ya simu Naona kama ananipigia kelele yaani ananivuruga nakua nachukia sana natamani ata kumwambia kaongelee kuleee .......[emoji41]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣Upo sahihi mkuu
 
Mapenzi yameniumiza sana inafikikia hatua nikumuona mtu anaongozana na mpenzi wake njiani Nahisi kuumia moyoni au Mtu akiwa anaongea na mpenzi wake kwa njia ya simu naona kama ananipigia kelele yaani ananivuruga nakua nachukia sana natamani ata kumwambia kaongelee kuleee .......[emoji41]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Relax boy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom