Yamepotelea wapi makundi ya WhatsApp ya madada poa?

Yamepotelea wapi makundi ya WhatsApp ya madada poa?

Munch wa Annabelle

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
6,355
Reaction score
11,065
Bwana Yesu asifiwe...…...
Asalam aleykum.......

Wakuu katika tafiti zangu nimegundua kuna uhaba mkubwa wa magroup ya wasap ya maafisa utamu/utelezi ukilinganisha na miaka ya nyuma

Hivi tatzo ni nini au serikali imetia mkazo na sheria kali ndo maana hayapo?

Au kuna nini haswa mpaka kupelekea uhaba huu

Nawasilisha
 
Bwana Yesu asifiwe...…...
Asalam aleykum.......

Wakuu katika tafiti zangu nimegundua kuna uhaba mkubwa wa magrou ya wasap ya maafisa utamu/utelezi ukilinganisha na miaka ya nyuma

Hivi tatzo ni nini au serikali imetia mkazo na sheria kali ndo maana hayapo?

Au kuna nini haswa mpaka kupelekea uhaba huu

Nawasilisha
Pesa hakuna , yanajifia yenyewe
 
Bwana Yesu asifiwe...…...
Asalam aleykum.......

Wakuu katika tafiti zangu nimegundua kuna uhaba mkubwa wa magrou ya wasap ya maafisa utamu/utelezi ukilinganisha na miaka ya nyuma

Hivi tatzo ni nini au serikali imetia mkazo na sheria kali ndo maana hayapo?

Au kuna nini haswa mpaka kupelekea uhaba huu

Nawasilisha
Udukuzi umekuwa mwingi,hivyo mambo yamekuwa hadharani mara nyingi,yaweza kuwa zinatumika.njia nyingine za mawasiliano.
 
Watu wameona ni upumbavu kutoa pesa ili ununue uchi wa malaya,ila tahadhali na angalizo,wale waliokuwa wanajiuza wengi sasa hivi wako makanisani na misikitini wamemrudia mola baada ya kuona biashara ngumu wanataka ndoa.sasa mwanaume tangatanga uje ukutane na sugunyo ya mandonga makahaba wastaafu wako kwenye nyumba za ibada sasa na mitaani wanavaa kiheshima tu
 
Watu wameona ni upumbavu kutoa pesa ili ununue uchi wa malaya,ila tahadhali na angalizo,wale waliokuwa wanajiuza wengi sasa hivi wako makanisani na misikitini wamemrudia mola baada ya kuona biashara ngumu wanataka ndoa.sasa mwanaume tangatanga uje ukutane na sugunyo ya mandonga makahaba wastaafu wako kwenye nyumba za ibada sasa na mitaani wanavaa kiheshima tu
Usamehewe bure. Hujui ulitendalo.
 
Usamehewe bure. Hujui ulitendalo.
Asamehewe kwa kwa sababu gani!!? ukweli utabaki ukweli tu, kwa sasa malaya wengi wastaafu wanahudhuria sana haya makanisa yanayohubiri miujiza na moja ya target yao ni kama iliyotajwa hapo juu
 
Asamehewe kwa kwa sababu gani!!? ukweli utabaki ukweli tu, kwa sasa malaya wengi wastaafu wanahudhuria sana haya makanisa yanayohubiri miujiza na moja ya target yao ni kama iliyotajwa hapo juu
Anywaya. Ngo tusibiri malaya wenyewe waje watuthibitishie hapa.
 
Kipindi cha magufuli walikuwa na uhaba wa soko maana waheshimiwa walikuwa wamekaliwa kooni kwelikweli na mzee baba, ila wakati huu wa samuya mrembuaji wanamdharau sana hivyo madada safi wanauhakika wa soko hawana haja ya kuitangaza mbususu kwa nguvu kama mwanzo.
 
Watu baada ya kujitambua wamejikita zaidi katika kupiga Puli (punyeto).

Hii kutokana na elimu kuhusu faida za nyeto ambayo sisi huitoa kupitia makongamano, warsha, semina, na hata mitandao ya kijamii.

Wakristo baada kusikia kuwa hata Adam pale Eden alikuwa mkali ha hizi kazi, nao wamebadilisha mwelejeo na kuwa wakwea minazi kwa mkono mmoja. Mbaga Jr.
 
Back
Top Bottom