Yamenikuta...

Madima

JF-Expert Member
May 25, 2019
351
299
Dada mmoja alifiwa na mume wake kwenye ajali yapata mwaka sasa ni mzuri wa kila kitu nikajua mwaka hautaisha ataolewa so nna mishe zangu around anapoishi and simply ni mteja wangu since then, utani mwingi but with respect mwezi uliopita tukaanza kuwasiliana Kawaida tu bila maneno ya kuashiria mapenzi so ikawa Kawaida tu as client

Siku moja nikaingizia neno kama utani tu kwamba aliyemridhi marehemu anakula mema ya nchi, akasema hata hamna nikapotezea kiaina akasema yupo tu tangu afiwe nikampa pole za kutosha. Juzi sabasaba akaniuliza au nataka nimsaidie marehemu nikakurupuka tu ki utani mwingi with a big YEAH akaniambia nipange location nimwambie duh nikapanga tar 9 akasema niende na wembe nikapata wasiwasi kidogo ila nikaona poa tu

Muda wa miadi umefika akasema kuna kazi nimsaidie kwanza ndo nile mzigo, akasaula nguo zote sikuamini. Alikua na msitu mkubwa kama wa Pande hadi nilikionea huruma kile kiwembe ikabidi nimnyoe fresh kabisa ndo nikafaidi ila dah shamba kweli halijalimwa mda mrefu sana .Yuko 🔥 kinoma, simply nilifaidi sana juzi.

NB :NILIKULA KIMASIHARA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom